Hao Sudan wamechezesha kikosi cha watoto nina uhakika
Kwa kweli Simba tulitawala sana game, Ushambuliaji, Kiungo, Beki na Kipa
Mvi ni zangu na hiyo sura pia ndo yangu ila ukiniita babu kuna vitoto vibichi humu vitakuwa vinanikimbiaSorry Baba V; nilichanganywa na mvi za kwenye avatar yako!
Ha ha ha haaah!! Nasikia jana hakuwepo kikosini, sikuangalia mechi za jana. Nadhani angekuwepo zingekuwa 10.tatizo sio yeye ni kavimba mguu huyoo kamzuzua...
Huwa sibishani mara mbili........niambie upo pande gani nikuzukie nikupe discpline za uhakika...Kwa taarifa tu aga ukoo wako wote............kwa kuanzia Tanga!
Usijali WABHEJASANA!
Mimi na wewe dugu moja, CHAKO CHANGU, CHANGU C
HANGU. Mke wako mke wangu, mke wangu shemejiyo.
Nikianguka uniinue, ukianguka nikuangukie...
Kwa kweli Simba tulitawala sana game, Ushambuliaji, Kiungo, Beki na Kipa
yanga tushalichukua hilo 2010 chini ya nahodha nsajigwa, sjui nyie kama mtaweza