CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Sijawahi kuona mechi yenye rafu za kijinga kama hii ya burundi na hawa wasomali,Wasomali wanacheza ovyo sana
 
Sijawahi kuona mechi yenye rafu za kijinga kama hii ya burundi na hawa wasomali,Wasomali wanacheza ovyo sana

Teh teh teh teh teh.
Naona hata mwenzao hapa Simba anavyocheza rafu...
 
Ushangiliaji wa goli la kwanza unaweza ukamponza huyu mfungaji wa Burundi, Christopher. Alipofunga alikimbilia kwenye kibendera na kuonyesha alama ya shooting kwa kutumia bunduki. Ikumbukwe kuwa Burundi imechangia jeshi katika kikosi cha la Afrika kule Somalia, jambo lililowaudhi wasomali wenye msimamo mkali
 
Game inayofuata naisubiri kwa hamu, ila nimesikitika Mbwana Samatta hatakuwepo
 
Kili stars XI (4-5-1) v Sudan: Kaseja,
Nyoni, Maftah, Kapombe, Yondani,
Domayo, Ngassa, Sureboy, Kazimoto,
Msuva & Bocco.
 
Kili stars XI (4-5-1) v Sudan: Kaseja,
Nyoni, Maftah, Kapombe, Yondani,
Domayo, Ngassa, Sureboy, Kazimoto,
Msuva & Bocco.

Subs: Dida, Chuji, Issa Rashid, Singano,
Kiemba, Edo, Nditi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom