CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Naona kiungo chetu baada ya kutoka Sure boy bado hakijaelewana, tunashambuliwa sana.....

Hope Kiemba atacope muda si mrefu
 
Hii timu imebalance mkuu......Sio kama ya mwaka jana wazee wa BEST LOSER
Hata mwaka jana ilikuwa imebalance lakini ya kutoka kwenye club yenu wachezaji hawakuwa wazuri angalia hata walioitwa mwaka huu toka club yenu ni wale mliowasajiri mwaka huu isipokuwa Chuji ambaye naye bila shaka amezaliwa upya.
 
Hata mwaka jana ilikuwa imebalance lakini ya kutoka kwenye club yenu wachezaji hawakuwa wazuri angalia hata walioitwa mwaka huu toka club yenu ni wale mliowasajiri mwaka huu isipokuwa Chuji ambaye naye bila shaka amezaliwa upya.

Masuke wewe kweli ni janga la Taifa!!!!!
 
Hata mwaka jana ilikuwa imebalance lakini ya kutoka kwenye club yenu wachezaji hawakuwa wazuri angalia hata walioitwa mwaka huu toka club yenu ni wale mliowasajiri mwaka huu isipokuwa Chuji ambaye naye bila shaka amezaliwa upya.

timu ya mwakajuzi bwaba chini ya nahodha nsajigwa ndo mana ikabeba ndoo hii ya kinazi sjui itakwaje
 
Hawa jamaa wamebadilika sana,lakini pia naona Ngasa amepunguza kuwasumbua kule mbele ndio maana wanapata mwanya wa kupanga mashambulizi.
 
Samahani Mkuu sijakuelewa unamaanisha nini unaposema kwamba ninyi wa nje!lakini kama umejiunga na Super Sport Phone unaangalia unono sana kwenye Chanel 9 East.

Super Sport PHONE? Mimi naishi Marekani na Nina IPHONE ninaweza kujiunga???
 
Hawa jamaa naona wameamka, inabidi Kapombe na Yondani wafanye kazi ya ziada kumlinda Kaseja lakini kama michomo itazidi sana jamaa watapata goli.
 
Hata mwaka jana ilikuwa imebalance lakini ya kutoka kwenye club yenu wachezaji hawakuwa wazuri angalia hata walioitwa mwaka huu toka club yenu ni wale mliowasajiri mwaka huu isipokuwa Chuji ambaye naye bila shaka amezaliwa upya.
Na hata hao waliodaiwa wazuri walioitwa walikuwa wanatuaibisha tu.........Wazee wa BEST LOSER
 
Mkuu tuna raha zetu humu ndani halafu unakuja na mipicha yako kutuchefua??!!!acha bangi zako bwana pelekena na hao wake zenu hukohuko,huyu jamaa kashaniharibia siku!!!!!!!!

It was a Mistake Sikujua the pic still on my paste
 
Hawa jamaa naona wameamka, inabidi Kapombe na Yondani wafanye kazi ya ziada kumlinda Kaseja lakini kama michomo itazidi sana jamaa watapata goli.
Tatizo ni kiungo....Kimepwaya baada ya Salum Abubakar kutoka.....

Tunaruhusu sana mashambulizi
 
peleka unazi wako uko

Unazi gani? Ndugu yangu! Huoni hata kocha kaliona Hilo? So far so good ila Ngassa Yuko on form mbaya..... Huyu mtangazaji wa Super Sport Swahili Ana mbwembwe
 
Taratibu tunazidiwa

Dakika ya 60

Tanzania 2-0 Sudan

Inabidi Chris Edward aingie kuwakimiza hawa wasudani....Simon Msuva apumzike
 
Back
Top Bottom