CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Shaban Nditi anaingia, anatoka Simon Msuva.....

Sun nzuri hii maana kiungo kimepwaya kweli sasa hivi
 
Naona sasa jembe Shaban Nditi kaingia kutuliza kiungo...
 
Katoka Msuva kaingia Nditti, so I hope Kiemba ataenda pembeni Nditti abaki Kati ila huyu jamaa kadumu timu ya Taifa mwenye data atupe hivi Nditti anaweza akawa na CAPS ngapi?
 
yaan Waganda hawapo kabisa uwanjani...sijui population ya Kampala ndogo au ndio sio wapenzi wa kabumbu..
 
Kati ya hizo sub mbili mmoja alitakiwa awe Chuji jamaa huwa anajitahidi kupandisha sana timu tofauti na Nditi na Kiemba ambao ni wazuri wakati timu haina mpira lakini Chuji ni mzuri sana wakati timu ina mpira na wakati pia haina anajitahidi kukaba.
 
Mkuu mimi ni janga la Taifa kuliko rushwa, nitake radhi mkuu la sivyo na kuripoti kwa invisible for name calling.

Mkuu mimi sikutaki radhi hata kidogo wewe unaleta ushabiki wako humu wakati sisi tunajaribu kuangalia utaifa,we mwambie tu Bwana hata usinitishie nyau!
 
yaan Waganda hawapo kabisa uwanjani...sijui population ya Kampala ndogo au ndio sio wapenzi wa kabumbu..
Maisha magumu sio kwetu tu hata kwao maisha ni magumu hawana hela ya kuingia uwanjani kila siku.
 
Kati ya hizo sub mbili mmoja alitakiwa awe Chuji jamaa huwa anajitahidi kupandisha sana timu tofauti na Nditi na Kiemba ambao ni wazuri wakati timu haina mpira lakini Chuji ni mzuri sana wakati timu ina mpira na wakati pia haina anajitahidi kukaba.

Nditi sawa kwa sababu amechezea Taifa stara mara nyingi sana kuliko hata chuji,lakini Kiemba ni kweli anazidiwa na Chuji halafu ubaya wake hakabi kama ambavyo anafanya Chuji.
 
Dakika ya 72

Tanzania 2-0 Sudan

Tumekoswakoswa......Kiungo chetu kimepwaya kweli
 
Back
Top Bottom