CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Waleteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Waleteni hao Azam
 
Yanga mna maneno sana!
428816_347920511950896_1876237780_n.jpg
 
Full Time

APR 0-1 Yanga

Wenye wivu wajinyonge.........

Yanga: Daima mbele,nyuma mwiko

Hureee! Nimejipatia TZS 1M baada ya ku-bet correctly ushindi wa Yanga 1-0.
What pleases me more ni kuwa nilitoa reason ya margin ya ushindi huu!!
 
Pamoja na APR kupata mashabiki kutoka Simba na Yanga kucheza 10 uwanjani.......Yanga waenda Semi Final kwa kishindo.....

Simba mtaishia kupakatwa tu...........

428816_347920511950896_1876237780_n.jpg


Mpaka rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Sawa na semi final yako....
tutakutana ligi kuu ngoja tujipange....
 
Hii ndiyo timu ya wananchi bana........

There are currently 239 users browsing this thread. (55 members and 184 guests)
 
Hii Yanga ya mwaka huu kwanini TFF wasiipe nafasi ya Simba kwenye kuiwakilisha nchi kwenye mashindano ya kimataifa...
Ksbb wameonyesha kuimudu vema...
Simba watatuongezea aibu tu
 
Hii Yanga ya mwaka huu kwanini TFF wasiipe nafasi ya Simba kwenye kuiwakilisha nchi kwenye mashindano ya kimataifa...
Ksbb wameonyesha kuimudu vema...
Simba watatuongezea aibu tu

Unafikiri nafasi hizo wanazipata kwa kutega masaburi yenu kwa manji...tuliupata kwa kusota uwanjani
 
Yanga mna maneno sana!

Yes, ni kweili Yanga Afrika tuna maneno sana lakini hayatokei midomoni kama walivyo Simba.
Maneno yetu siku zote yanazungumzwa na zile boots 22 uwanjani na ni vitu viwili tu vinavyoweza kusikia maneno hayo - (1)mpira wenyewe (ball) na (2) uwanja (pitch)!!
 
Haya mashindano yalianza lini na yanaisha lini? Nilikuwa busy kwenye jukwaa la siasa, zitto na urais
 
Back
Top Bottom