Bila kumsahau Athuman Idd Athuman 'Chuji'.....
Huyu jamaa karudi kwenye fomu sana mkuu....
Kuna mtu alisema Chuji alijitazama kwenye kioo akagundua adui wake ni nani,hivyo akamkwepa na kubadilika kitabia......Jamaa yuko vizuri sana...
Chini ya fisadi Manji..
Kwani haujui leo Simba wote leo walikuwa APR na sasa wamehamia Azam?.......Kwani aliepakatwa ni simba au APR?
Hii ndiyo timu ya wananchi bana........
There are currently 239 users browsing this thread. (55 members and 184 guests)
Mtayasema yote mwaka huu............Sisi tunaenda mbeeeeele........Subiri tarehe 5 August kwenye mkutano wenu mnavyochapana bakora.....Hivi ule uwanja wenu na Simba TV vimeishia wapi?........Rage ni noumer kwa utapeli.......Halafu Yanga ni chaka la mafisadi
Bila kumsahau Athuman Idd Athuman 'Chuji'.....
Huyu jamaa karudi kwenye fomu sana mkuu....
Kuna mtu alisema Chuji alijitazama kwenye kioo akagundua adui wake ni nani,hivyo akamkwepa na kubadilika kitabia......Jamaa yuko vizuri sana...
Huwezi kuamini vitu anavyofanya Chuji siku hizi uwanjani,angalia ile rabsha iliyotokea wakati Taita anapigwa yellow ya 2 iliyofuatiwa na red,Chuji alikuwa anaangalia kwa busara ile mbaya....hakika huyu siye yule Chuji wa kipindi kile,the guy is in real form
Bila kumsahau Athuman Idd Athuman 'Chuji'.....
Huyu jamaa karudi kwenye fomu sana mkuu....
Kuna mtu alisema Chuji alijitazama kwenye kioo akagundua adui wake ni nani,hivyo akamkwepa na kubadilika kitabia......Jamaa yuko vizuri sana...
Mtayasema yote mwaka huu............Sisi tunaenda mbeeeeele........Subiri tarehe 5 August kwenye mkutano wenu mnavyochapana bakora.....Hivi ule uwanja wenu na Simba TV vimeishia wapi?........Rage ni noumer kwa utapeli.......
Simba ni chaka la matapeli...........Wakiongozwa na mwenyekiti Rage....