ccm ccm ccm ccm.....
Aaa mkubwa haya mambo ya ccm ya nini hapa? Watu tuna aleji na hilo lichama.
ccm ccm ccm ccm.....
tehe tehe tehe,,,,,, pole kamanda. hiyo ndio yanga bana.
Na hamia AZAM kwa hizi siku chache.....
Aaa mkubwa haya mambo ya ccm ya nini hapa? Watu tuna aleji na hilo lichama.
karibu sana mkuu
Unafikiri nafasi hizo wanazipata kwa kutega masaburi yenu kwa manji...tuliupata kwa kusota uwanjani
Kuanzia leo mpaka fainali niko Azam naomba wachezaji wa azam watuokoe na aibu hii maana yanga wakilichukua, tutapata shida sana...safari hii ulinzi utakuwa wa kutosha maana tunajua wanajipanga kumpiga refa wa mechi hiyo...
Kwani yanga wakipata goli huwa wana shangiliaje?
hapa sasa roho yangu safi kabisaaaa.....kombe linabaki nyumbani.
ahaaa kumbe! Ndo maana sipendi kabisa litimu au lichama lenye rangi ya njano na kijani.
Kuanzia leo mpaka fainali niko Azam naomba wachezaji wa azam watuokoe na aibu hii maana yanga wakilichukua, tutapata shida sana...safari hii ulinzi utakuwa wa kutosha maana tunajua wanajipanga kumpiga refa wa mechi hiyo...
ccm ccm ccm ccm.....
Bila kumsahau Athuman Idd Athuman 'Chuji'.....Niyonzima leo kafunika