CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

huu ni mwaka wamaajabu azam fc nusu mara kwanza jon boko;
hat trick mara ya kwanza cecafa
hat trick mara ya kwanza kuifunga simba..

Forza Azam FC wazee wa lamba lamba..

Huna lolote.... unaumia sana moyoni Simba imefungwa leo.
Unajifanya Azam lakini maneno na ushabiki wako una viashiria vyote (ebu yatamke hayo maneno yako hapo juu kwa sauti.....do you hear that?) kuwa wewe ni Simba tena wa kutupwa!
 
hahahaha subiri kiama chako utaikimbia kompyuta....
Sina tabia ya kuikimbia Kompyuta wala uwanja mimi......Poleni sana kwa kupakatwa na Azam.....Kila siku nakwambia mpira hauchezwi mdomoni....Mpira unachezwa uwanjani......Dakika 90 kama sio 93
 
leo nilikuwa nasikiliza kanda yangu niliyoirekodi miaka ile kati ya Simba na SC Villa ya Uganda...Enzi ya akina Mackenzi, Raphael Paul, Twaha Hamidu, Jamhuri Kihwelu, Frank Kasanga Bwalya, Ramadhan Leny, Issa Kihange....dah
Hapo umewasahau na wauaji wa SC Villa.....Zamoyoni Mogella na Kocha mchezaji Hassan Afif
 
huu ni mwaka wamaajabu azam fc nusu mara kwanza jon boko;
hat trick mara ya kwanza cecafa
hat trick mara ya kwanza kuifunga simba..

Forza Azam FC wazee wa lamba lamba..
Kijana naona una furaha ya ajabu......

Kumbukumbu zinaonesha Hamis Kiiza 'Diego' alifunga Hat trick pia siku ya mechi ya Yanga na WAU Salaam
 
Habari ndio hiyo

simba+kapakatwa.jpg


Na sasa hivi ni bur'daani hapa....

simba+kapakatwa.jpg
 
Sina tabia ya kuikimbia Kompyuta wala uwanja mimi......Poleni sana kwa kupakatwa na Azam.....Kila siku nakwambia mpira hauchezwi mdomoni....Mpira unachezwa uwanjani......Dakika 90 kama sio 93

kweli kabisa mkuu balantanda,watu wanachezea mpira mdomoni.nimefurahi sana leo
 
Kijana naona una furaha ya ajabu......

Kumbukumbu zinaonesha Hamis Kiiza 'Diego' alifunga Hat trick pia siku ya mechi ya Yanga na WAU Salaam

Tell him,Kijana amefurahi hadi amepoteza kumbukumbu sahihi anyway tumsamehe
 
leo nilikuwa nasikiliza kanda yangu niliyoirekodi miaka ile kati ya Simba na SC Villa ya Uganda...

Enzi ya akina Mackenzi, Raphael Paul, Twaha Hamidu, Jamhuri Kihwelu, Frank Kasanga Bwalya, Ramadhan Leny, Issa Kihange....

dah

Nahitaji hiyo nitaipataje?
 
Hii Simba ya Kagame(kabla haijajipanga vizuri) ndo ilikuwa ya kukutana nayo
 
Tungejipigia goli za kutosha sana,anyway MUNGU amewaepusha na aibu kubwa kwa kuwadondoshea hiyo aibu ya kiasi ya goli 3-1
 
Kitu kizuri nilichojifunza leo ni kuwa Azam inaweza kuwa timu bora zaidi Tanzania kwa sasa. Inaposhinda ni kwa sababu ya uwezo ilionao uwanjani na sio rushwa au kupendelewa. Watu wajifunze kukubali ubora wa wapinzani wao kwa sababu mpira unachezwa hadharani.

Simba, huo ndio ushindani, unapigwa bao unakubali, unakwenda kujipanga na sio kutafuta mchawi.
 
Back
Top Bottom