CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

simba hoi na dk 90+? nauliza tu maana hapa nipo kenye dala dala narudi break ya kwanza ni dompo tu kujiliwaza...

poleni sana wana simba..

Asante kwa pole mkuu. Hongereni kwa ushindi huo mnono. We wish you all the best. Mjitahidi angalau kombe libaki TZ
 
Huyu Sunzu hamna kabisa, magoli yote aliyokosa eti anafunga offside..hakuwa kwenye form kabisa tangu mashindano yanaanza..Poleni sana watani..

Kwakweli wakiendelea naye nitaamini Zambia kuna Wachawi
 
Saint Ivuga pole sana ndugu yangu ndio soka lilivyo tujipange na ligi.
 
Last edited by a moderator:
huu ni mwaka wamaajabu azam fc nusu mara kwanza jon boko;
hat trick mara ya kwanza cecafa
hat trick mara ya kwanza kuifunga simba..

Forza Azam FC wazee wa lamba lamba..
 
Kwa nini nusu fainali zimewekwa siku moja?

Simba ingepita nusu fainali zingechezwa siku tofauti ili wakusanye mapato; lkn kwa vile Azam ndo imepita watazamaji uwanjani wanahisi hawatakuwa wengi na mapato itakuwa ni sawa na bure wakaona ni bora waunganishe kwa pamoja zote.
 
hongera wanalambalamba kazi kwenu kuingia fainali.mchezo huamuliwa kwa makosa .
Beki ya simba ilkuwa imezizubaa mno pamoja na kipa wetu Kaseja hakuwa kwenye form.Kocha wa simba nadhani atafanyia kazi makosa yote ambayo yamejitokeza kwenye michuano hii na ikiwezekana wafumue usajili wote kwa kujaza chipukizi.
Azam lazima tuwakomeshe kwenye ligi kuwa mnatukomalie watani kiasi kile ndo maana yanga waliamua kumpa kichapo refa hahaha
 
Haya mliobaki Kagame mtuwakilishe vema Watanzania sio iwe kumfunga Simba baasi!Yani ndio muwe mmechukua kombe!
 
Simba ingepita nusu fainali zingechezwa siku tofauti ili wakusanye mapato; lkn kwa vile Azam ndo imepita watazamaji uwanjani wanahisi hawatakuwa wengi na mapato itakuwa ni sawa na bure wakaona ni bora waunganishe kwa pamoja zote.

Ratiba isingebadilika kwani fainal ni jumamosi
 
Azam na Yanga hakikisheni kombe lina baki sisi acha tujipange kwa ligi kuu na klabu bingwa....
 
Back
Top Bottom