rmashauri
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 3,011
- 462
simba hoi na dk 90+? nauliza tu maana hapa nipo kenye dala dala narudi break ya kwanza ni dompo tu kujiliwaza...
poleni sana wana simba..
Asante kwa pole mkuu. Hongereni kwa ushindi huo mnono. We wish you all the best. Mjitahidi angalau kombe libaki TZ