Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
hivi yule mchezaji wa simba hatari sana anajiita dula yumo ndani nauliza tu...
Nani Abdalah Juma,leo hakuweko kabisa hata kwenye list dizaini ni majeruhi
hivi yule mchezaji wa simba hatari sana anajiita dula yumo ndani nauliza tu...
bado presha haija shuka siunakumbuka urafiki kapu...
Dah....................Poleni sana watani.......Ndo ukubwa huo
tangu lini balotelli wa bongo akaanza ...mara nyingi huwa anaingia sab...namzungumzia haruna
Sunzu katengeneza sanamu ya goli, bado Azam 3-1 Simba dakika 87
Umeona enh,this is the mistake Milovan has done....waliporudisha goli 1 walikuwa wamerudi mchezoni vizuri,mida ile kama Boban angeanzia nje ndo ilikuwa ya kuingia lazima wange'pick
azam 3-1simba boko anaua tena na tena.
Umeona enh,this is the mistake Milovan has done....waliporudisha goli 1 walikuwa wamerudi mchezoni vizuri,mida ile kama Boban angeanzia nje ndo ilikuwa ya kuingia lazima wange'pick