CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Huna lolote.... unaumia sana moyoni Simba imefungwa leo.
Unajifanya Azam lakini maneno na ushabiki wako una viashiria vyote (ebu yatamke hayo maneno yako hapo juu kwa sauti.....do you hear that?) kuwa wewe ni Simba tena wa kutupwa!

karibu chamanzi nikupe kadi simba ndio nini tushawapiga bao swafiiii...
 
1. Simba nazi.jpg mambo ya jana ya mnyama ndani ya uwanja wa taifa hayo ndio mpira wetu huo
 
hivi simba wana shida gani na mashindano ya kimataifa?ni muda mrefu sasa hawajanyakua kombe lolote la kimataifa,kulikoni wanyama wenzangu
 
[h=6]sia maneno ya mashabiki hayo:
HATIMAE SUNZU AJIUNGA NA FM ACADEMIA NA LINO MAUNO YUPO KWENY HATUA ZA MWISHO KWENDA AKUDO WAKATI T.O.T WAKIWA HATUA ZA MWISHO KUMCHUKUWA MPIGAVANGA[/h]
 
Nilitabiri Azam kushinda and boy was i right...congratulations AZAM fc, tukutane fainali...

YOUNG AFRICAN
 
karibu chamanzi nikupe kadi simba ndio nini tushawapiga bao swafiiii...

Kinachokupeleka Chamazi (Azam) ni njaa yako tu lakini kwa kauli zako na viashiria vingine vyote wewe ni Simba. Na jana umesikitika sana kwa Simba kufungwa, hilo liko wazi.

Come on, Yanga Afrika (the best club in East Africa 2010 -2012)........ ndoo ya pili kwa miaka mfululizo hiyoo yaja!!
 
[=Independent Voter;4306909]hivi simba wana shida gani na mashindano ya kimataifa?ni muda mrefu sasa hawajanyakua kombe lolote la kimataifa,kulikoni wanyama wenzangu[/QUOTE]

Simba zao sasa hivi ni ma'kombe ya MBUZI,nasikia DRFA wako mbioni kuandaa Kombe la Piga vita Malaria Dar-es-salaam,na wataialika Simba kushiriki hapana shaka Kaseja ataiwezesha team yake kulinyakua hilo Kombe
 
Kila la kheri wanalambalamba na yeboyebo kwa mechi za hapo kesho.tunawaombea ushindi ili kombe libaki kwenye ardhi ya tanzania.Yanga usikubali APR akufunge na Azam vilevile ucheze nguvu na kwa kukamia kama ulivyofanya kwenye mechi ya simba ili uwatoe hao Vita club na warudi kwao kuwasaka waasi wa M23 kwenye milima na mapori ya congo
 
Kila la kheri wanalambalamba na yeboyebo kwa mechi za hapo kesho.tunawaombea ushindi ili kombe libaki kwenye ardhi ya tanzania.Yanga usikubali APR akufunge na Azam vilevile ucheze nguvu na kwa kukamia kama ulivyofanya kwenye mechi ya simba ili uwatoe hao Vita club na warudi kwao kuwasaka waasi wa M23 kwenye milima na mapori ya congo

Hawa watu acha wafungwe tu, walivyotuzomea juzi hawafai kabisa kuchukua kombe, bora kombe liende Kongo kwenye ardhi aliyozikwa shujaa wetu Mafisango, hata kama hawatawapa kombe kwa sababu ni waalikwa lakini itahesabika wao ndo washindi.
 
[h=6]1. Deogratius Munishi GK (27)
2. Ibrahim Shikanda (21)
3. Erasto Nyoni (6)
4. Aggrey Morris (13) Captain
5. Said Moradi (15)
6. Jabir Aziz (25)
7. Kipre Tchetche (10)
8. Ibrahim Mwaipopo (4)
9. John Bocco(19)
10. Salum Abubakar (8)
11. Ramadhan Chombo (17)[/h]
 
Back
Top Bottom