ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
Huna lolote.... unaumia sana moyoni Simba imefungwa leo.
Unajifanya Azam lakini maneno na ushabiki wako una viashiria vyote (ebu yatamke hayo maneno yako hapo juu kwa sauti.....do you hear that?) kuwa wewe ni Simba tena wa kutupwa!
karibu chamanzi nikupe kadi simba ndio nini tushawapiga bao swafiiii...