Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,355
- 2,737
we must win.........Yanga oyeeeeeeeee
Tatizo lako wewe unaushabiki wa kijinga...kwa hiyo mimi nikisema naomba leo yanga ashinde basi nina mapenzi na yanga, sahau nataka tukutane fainali ili tuje tuwafunge tano zingine....na cha msingi kombe libaki Tanzania maana likiondoka wakati tuna timu nne kati ya nane ni aibu kubwa sana kwa taifa...Ha ha ha ha Yanga kweli team ya Wananchi, naona kila mtu anaombea Yanga ishinde leo isipokuwa Milovan na Simba yake
Oyeee!we must win.........Yanga oyeeeeeeeee
ura sasa wanashambilia sana katika goli la apr
Yule Dogo(Sentongo) anatafuta team Bongo kwahiyo lazima achezee sifa
dakika 86 ura 1 apr 2
Yanga anashinda hata kama ni kwa goli la mkono...
ura wanapigania roho ya mwisho tenaVipi upepo wanaweza kurudisha ndani ya hizo dakika 7.
dk 90+5 apr 2 ura 1
ft apr 2 ura 1