CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Mkuu Sunzu sio Garasa ni upepo tu utapita, mtatamani kumsajili huko tuendako.
Sunzu ni wa aina ya akina Davis Mwape na Kenneth Asamoah, ni bora kubaki na akina Abdallah Juma na Said Buhanuzi wetu.....

Hao akina Sunzu wanalipwa pesa nyingi kweli licha ya kwamba ni magarasa......
 
j3 URA Vs APR
Yanga Vs Mafunzo

j4 Atletico Vs V Club
Simba Vs Azam
 
Mshindi wa nafasi ya tatu kundi A (ambaye ni Simba)anakutana na mshindi wa kundi B ambaye ni kati ya Mafunzo na Azam lkn kwa utaratibu jinsi ulivyo Simba lazima akutane na Azam.

Atakuwa mafunzo.
 
Sunzu ni wa aina ya akina Davis Mwape na Kenneth Asamoah, ni bora kubaki na akina Abdallah Juma na Said Buhanuzi wetu.....

Hao akina Sunzu wanalipwa pesa nyingi kweli licha ya kwamba ni magarasa......

Ukweli Sunzu bado tunamhitaji msimbazi
 
Ukweli ni kwamba Sunzu ni garasa mtani(sory to say that......)...........

Kwanini Balantanda hebu dadavua kitaalam, kwa maoni yangu Sunzu huwezi mfananisha na Davis Mwape mkuu ukiangalia Sunzu ilikuwa anatoka katikati anaenda kutafuta mpira pembeni unakuta hakuna mtu pale kati kati.
 
Last edited by a moderator:
Kwanini Balantanda hebu dadavua kitaalam, kwa maoni yangu Sunzu huwezi mfananisha na Davis Mwape mkuu ukiangalia Sunzu ilikuwa anatoka katikati anaenda kutafuta mpira pembeni unakuta hakuna mtu pale kati kati.

Mimi nilishamwambia Sunzu bado ni mzuri na tunamhitaji sana.
 
Kwanini Balantanda hebu dadavua kitaalam, kwa maoni yangu Sunzu huwezi mfananisha na Davis Mwape mkuu ukiangalia Sunzu ilikuwa anatoka katikati anaenda kutafuta mpira pembeni unakuta hakuna mtu pale kati kati.
Nadhani ni kila mtu na mtazamo wake mtani......Kwangu mimi Sunzu=Mwape=Asamoah= Magarasa.......

Btw.....Naona siku hizi unashindwa hata kuchangia jamvini,unasubiri msawazishe ama mfunge goli la ushindi ndo unatokea........Lol........Mpira ni kushinda,kushindwa ama kutoka sare mtani......Usiogope kufungwa.......Iga mfano wa wanamichezo wa ukweli bemg, Masuke na PrN-kazi bana
 
Last edited by a moderator:
Nadhani ni kila mtu na mtazamo wake mtani......Kwangu mimi Sunzu=Mwape=Asamoah= Magarasa.......

Btw.....Naona siku hizi unashindwa hata kuchangia jamvini,unasubiri msawazishe ama mfunge goli la ushindi ndo unatokea........Lol........Mpira ni kushinda,kushindwa ama kutoka sare mtani......Usiogope kufungwa.......Iga mfano wa wanamichezo wa ukweli bemg, Masuke na PrN-kazi bana
Mkuu simu yangu ina matatizo na muda wa mechi mara nyingi nakutwa nikiwa kibaruani hivyo nashindwa kuchangia kitua mabacho sija kiona tofauti na mechi ya jana na leo angalau naweza kuzielezea yanga, Azam na Simba...
 
Mkuu simu yangu ina matatizo na muda wa mechi mara nyingi nakutwa nikiwa kibaruani hivyo nashindwa kuchangia kitua mabacho sija kiona tofauti na mechi ya jana na leo angalau naweza kuzielezea yanga, Azam na Simba...
Pole sana mtani.....

RATIBA ROBO FAINALI
Julai 23, 2012
Mafunzo vs Yanga
URA vs APR


Julai 24, July
Atletico vs AS Vita
Azam vs Simba SC
 
Mkuu simu yangu ina matatizo na muda wa mechi mara nyingi nakutwa nikiwa kibaruani hivyo nashindwa kuchangia kitua mabacho sija kiona tofauti na mechi ya jana na leo angalau naweza kuzielezea yanga, Azam na Simba...

kwa hali hiyo umeeleweka mkuu; pole sana kwa najukumu.
 
Mkuu karibu.

hahahahahaha...mbona kila siku nipo sema kile kipgo cha mechi ya kwanza na kiwango cha mechi ya pili kili punguza kasi ya kuwepo kwenye jukwaa hili ili kumbuka mimi ndiyo mnazi wa soka la bongo asikwambie mtu...lol
 
Pole sana mtani.....

RATIBA ROBO FAINALI
Julai 23, 2012
Mafunzo vs Yanga
URA vs APR


Julai 24, July
Atletico vs AS Vita
Azam vs Simba SC

kwa hii ratiba kwa Yanga Semi-final ni 100% na Simba Semi-final ni 50%
 
Pole sana mtani.....

RATIBA ROBO FAINALI
Julai 23, 2012
Mafunzo vs Yanga
URA vs APR


Julai 24, July
Atletico vs AS Vita
Azam vs Simba SC
Yanga kwa kiwango cha jana mtawatandika hao mafunzo zaidi ya golli 2..ila naomba tukutane ili tukate kidomodomo chenu..hahahahahaah
 
kwa hii ratiba kwa Yanga Semi-final ni 100% na Simba Semi-final ni 50%
Mtavuka tu mtani.....Akina ndetichia ni wenu siku zote.......Watambania Yanga weee.......Lakini wakikutana na mnyama wanaachia
 
Last edited by a moderator:
kwa hii ratiba kwa Yanga Semi-final ni 100% na Simba Semi-final ni 50%

Mkuu Mafunzo usiwachukulie poa, kuna kiungo mmoja anaitwa Salembe sijui Selembe pale dimba la kati kina Chuji wasipokuwa makini atawaadhiri.
 
Back
Top Bottom