CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Mtavuka tu mtani.....Akina ndetichia ni wenu siku zote.......Watambania Yanga weee.......Lakini wakikutana na mnyama wanaachia

Redondo namuona yuko juu sana kumzidi Amri Kiemba; Agrey Morisi anatisha kuliko Nyoso na Haruna Shamte, Kipre tChetChe usiseme; hilo ndo balaha ninalo liona mtani.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mafunzo usiwachukulie poa, kuna kiungo mmoja anaitwa Salembe sijui Selembe pale dimba la kati kina Chuji wasipokuwa makini atawaadhiri.

mpira uliochezwa na Yanga jana dhidi ya APR ulinistua, wakicheza kwa Mafunzo nusu fainali ni yao.
 
Sunzu ni wa aina ya akina Davis Mwape na Kenneth Asamoah, ni bora kubaki na akina Abdallah Juma na Said Buhanuzi wetu.....

Hao akina Sunzu wanalipwa pesa nyingi kweli licha ya kwamba ni magarasa......

Sunzu a.k.a Mwape wa Simba,nashangaa bado wanaye tu...Mwape wetu tulishamlipa chake akasepa,sisi tunataka Magarasa?
 
sitaki kuhamini URA inachofanyiwa kwa jinsi ilivyoigaragaza Simba, au Derick Walulya, Saimon Massaba, Saimon Mabiru na Senttongo hawamo?????

ahh wapo wote ila si unajua timu zetu maneno mengi lakini uwanjani tuna bahatisha usishangae leo mgongo wazi aka kandambili nao waktolewa na mafunzo
 
sitaki kuhamini URA inachofanyiwa kwa jinsi ilivyoigaragaza Simba, au Derick Walulya, Saimon Massaba, Saimon Mabiru na Senttongo hawamo?????
Kuna kiungo mmoja Owen Kasule hawajamwanzisha sijui ni majeruhi.
 
Ha ha ha ha Yanga kweli team ya Wananchi, naona kila mtu anaombea Yanga ishinde leo isipokuwa Milovan na Simba yake
 
Back
Top Bottom