Game imeisha mjomba.....Ilikuwa inaoneshwa Super Sport 9 na Star TVmnaona game wapi?
Huyu Sunzu hovyo kabisa.......
Full Time
Simba 1-1 AS Vita Club
Huyu Sunzu hovyo kabisa.......
Full Time
Simba 1-1 AS Vita Club
siku zote penati muhimu forward huwa wanakosa
Ukweli ni kwamba Sunzu ni garasa mtani(sory to say that......)...........siku zote penati muhimu forward huwa wanakosa
Hapa sasa naweza nikaenda uwanjani kuwaona mechi ya robo fainali, Vijana wa Simba mmecheza vizuri sana, Sunzu usihuzunike wala usifadhaike hiyo yote ni mipango ya Mungu tusikutane na Atletico robo fainali.
Mshindi wa nafasi ya tatu kundi A (ambaye ni Simba)anakutana na mshindi wa kundi B ambaye ni kati ya Mafunzo na Azam lkn kwa utaratibu jinsi ulivyo Simba lazima akutane na Azam.Hapa sasa naweza nikaenda uwanjani kuwaona mechi ya robo fainali, Vijana wa Simba mmecheza vizuri sana, Sunzu usihuzunike wala usifadhaike hiyo yote ni mipango ya Mungu tusikutane na Atletico robo fainali.
Ukweli ni kwamba Sunzu ni garasa mtani(sory to say that......)...........
Azam tunawamudu lakini hata ikitokea wametufunga tutawashangilia nusu fainali.Mshindi wa nafasi ya tatu kundi A anakutana na mshindi wa kundi B ambaye ni kati ya Mafunzo na Azam lkn kwa utaratibu jinsi ulivyo Simba lazima akutane na Azam.