Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
- Thread starter
- #661
Dakika ya 90
Yanga 2-0 APR
Yanga 2-0 APR
Galasa moja tu limetokea Mtibwa, ngoja liwape moyo tu sa hivi ligi ikichanganya ndo watajua hamna kitu.Duh!Alafu huyu bahanuz mmemtoa wapi yanga?
azam chama kubwa sio timu ya urithi hiyo wewe...
APR wanakosa goli la wazi kabisa...
Mpira hauchezwi mdomoni mtani....Watani hongereni zenu, naona mmewakwepa URA, kuna hatari ya kukutana na Azam, Mafunzo au Tusker; Ombeni msikutane na Azam itakuwa ndo safari yenu imeishia hapo.
Nyie WANABE tu. Toto dogo kabisa.
Siku akichacha Bakhresa (au kufa... ashakumu si matusi), Azam itakuwa ndio kwishnei. Kwisha habari yake!
Galasa moja tu limetokea Mtibwa, ngoja liwape moyo tu sa hivi ligi ikichanganya ndo watajua hamna kitu.
naona usemi wako umetimia
Watani hongereni zenu, naona mmewakwepa URA, kuna hatari ya kukutana na Azam, Mafunzo au Tusker; Ombeni msikutane na Azam itakuwa ndo safari yenu imeishia hapo.
Full Time
Yanga 2-0 APR
Hongerni sana wana Yanga wenzangu
Kwangu mimi MOTM wa leo ni Yaw BERKO
Hivi Said Buhanunzi ambaye anaongoza kwa ufungaji sasa na Felix Sunzu mnayemlipa karibu milioni 4 kwa mwezi nani bora?....Galasa moja tu limetokea Mtibwa, ngoja liwape moyo tu sa hivi ligi ikichanganya ndo watajua hamna kitu.