CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

dua la mwombea mabaya huwa halimfikii mlengwa.. pole sana ndio tunakuja kuwashika..

Mna miaka mingapi tangu mmeanza kusema hivo? I have lost count.
Labda muunganishe nguvu na mjomba wenu Simba kuihujumu chama kubwa Yanga Afrika kwa kutumia watu kama yule refa wenu aliyapata mkong'oto siku ile!!
 
Hivi Said Buhanunzi ambaye anaongoza kwa ufungaji sasa na Felix Sunzu mnayemlipa karibu milioni 4 kwa mwezi nani bora?....

Mkuu subiri tukutane kwenye mechi zetu za watani ndo tutajua bora nani? ukiniuliza baada ya sisi kwa sisi kukutana nitakwambia bora ni nani.
 
Angekuwa Simba ndiye kamshinda APR leo, server ya JF ingeweza ku-collapse kwa kuzidiwa na post zao leo!!
 
Hongera Yanga African kwa ushindi maridhawa leo hii, pamoja sana mashabiki wote wa jangwani.
 
Galasa moja tu limetokea Mtibwa, ngoja liwape moyo tu sa hivi ligi ikichanganya ndo watajua hamna kitu.

Mkuu huyo ndo yule Abdalah Juma wenu anayejaribu kumuiga kila siku lkn hawezi kumfikia hata robo,the guy is skilled...na huo ndo mwanzo tu,I can guess enzi za Mohamed Hussein "Mmachinga" zinarudi.
 
Asante sana Mtibwa kwa kutupa Juma Abdul na Said Bahanuzi,for sure Shomari Kapombe atafute namba nyingine Stars hiki kifaa Juma Abdul ni noumarrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!
 
Hivi kesho Azam na Tusker wakisuluhu (0-0) washindi wa kundi hili wataamuliwa vipi?
 
Hivi kesho Azam na Tusker wakisuluhu (0-0) washindi wa kundi hili wataamuliwa vipi?

Tusker atabaki maana atakuwa hajafunga goli lolote.lakini pia kupata timu ipi iwe ya kwanza na nyingine iwe ya pili kama watatoka 0-0 hapo sijui kanuni zinasemaje
 
Sipendi upendeleo wa CECAFA kwa simba na yanga. 1. wao hawechezi saa nanane mchana 2. Kundi la yanga na simba kila moja lina kibonde walau mmoja wa kugawa points. 3. Makundi ya simba na yanga kila moja litatoa timu tatu wakati la azam timu mbili tu.Simba na yanga zinapata muda zaidi wa kupumzika. Yote haya ili CECAFA ipate viingilio.Je kuna soka kukua au ni kusaka pesa tu?.Ndo maana tusishangae timu zetu zinavurunda zinapotia pua katika mashindano ya ukwele kuliko haya maigizo ya mpira ya CECAFA
 
Back
Top Bottom