CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Hizi hela za EPA naona zimeingia mpaka kwenye jeshi la Rwanda, huyu beki inabidi apelekwe kwa rais Kagame akajieleze.
 
Yanga wanashambulia......Kiiza.........Kona

Yanga wanafanya mabadiliko Buhanuzi anatoka anaingia Jerry Tegete
 
Benchi la ufundi la Yanga Afrika linahitaji kufanyia kazi pumzi (stamina), maana du!
 
Back
Top Bottom