Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Sipendi upendeleo wa CECAFA kwa simba na yanga. 1. wao hawechezi saa nanane mchana 2. Kundi la yanga na simba kila moja lina kibonde walau mmoja wa kugawa points. 3. Makundi ya simba na yanga kila moja litatoa timu tatu wakati la azam timu mbili tu.Simba na yanga zinapata muda zaidi wa kupumzika. Yote haya ili CECAFA ipate viingilio.Je kuna soka kukua au ni kusaka pesa tu?.Ndo maana tusishangae timu zetu zinavurunda zinapotia pua katika mashindano ya ukwele kuliko haya maigizo ya mpira ya CECAFA
Koote nakubaliana na wewe isipokuwa hapo kwenye red,unajua toka team ya Ndetichia icheze na Mafunzo haijateremka tena dimbani ndo inatarajia kuteremka mchana huu dhidi ya Tusker ya Kenya,sasa kwa mpango huu nani amepewa siku nyingi za kupumzika kati ya Simba na Yanga kwa upande mmmoja na Azam upande mwingine?
Pamoja na hayo haya mashindano yana gharama zake katika kuyaendesha na ndo maana TFF ikishirikiana na CECAFA huwa wanakuja na mbinu tofautitofauti katika kuhakikisha angalau wanapata something itakayosaidia gharama za kuendesha haya mashindano,ikumbukwe Rais Kagame yeye hutoa zawadi kwa Mshindi tu