CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

watangazaji wetu wengi wanatokana na vyuo bubu mfano sijui MAMET, DSJ, TIMES etc na wanafundishwa kuanzia miezi mitatu au sita, na entry qualifications zenyewe aibu, halafu unawataraji waweze kutangaza mpira ipasavyo kwa ung'eng'e?
lakini pia kumbuka supersport kwa east africa base yao ipo kenya na wana watangazaji wao wanaotangaza ligi ya kenya huko, na vilevile wamekuja na magari na vifaa vya utangazaji toka kenya, then definetely hata watangazaji watatoka huko
 
Watanzania kuna kitu tunakosa, hasa sisi tunaojiita wapenzi na wachambuzi wa soka; Kagame Cup inaendelea na timu nzuri kutoka Nchi shiriki kama vile Uganda, Kenya, Congo, Rwanda, Djibout, Zanzibar na Sudan ziko hapa nchini kwa ajili ya mtanange:

Concern yangu ni kwamba, wachambuzi wa soka kupitia JF wanakua wagumu kujitokeza kuongelea kwa kina kinachokua kinaendelea Uwanjani wakati timu kutoka nje ya nchi zinapokuwa zinacheza; uchambuzi unaanza pale tu Yanga na Simba zikiwa uwanjani, inasikitisha kwakweli. ni vyema kuwa karibu na haya mambo vinginevyo tukikalia Yanga na Simba tu tunapotea.
 
3 kwa URA na Ports hawajapata kitu dk ya 56

Kwa ujumla Ports wameisha kubali, wanacheza tu ili mradi dk ziende, ila kwa upande wa URA Robert Ssentongo na Saimon Massaba na Saimon Mubiru hawana mzaa wanasumbua vilivyo.
 
leo jezi ya njano ina bahati. Nadhani yanga watashinda
 
Da. Ports wamepata goli safi sana. Ports 1 URA 3
 
....bora Ports wamepata walau goli la kufutia machozi 3-1 sasa
 
ushindi wa azam unaipeleka robo..

Azam bado sana.....bado ni WANABE.

Mwaka huu kuna kila indication kuwa Yanga Afrika watachukua kombe hili tena.
Kwa nini? Kwa sababu wameanza kwa kusuasua. Mara 2 katika miaka ya huko nyuma kwenye mashindano haya, Yanga Afrika ilianza kwa kusuasua hivi hivi lakini against all odds ili-end up kunyakua kombe mara 2 zote - tena on a foreign soil (Uganda) na kuifanya kuwa klabu pekee na ya kwanza (na ya mwisho) kutoka TZ kuweza kubeba taji nje ya nchi.
 
Vipi wenye timu yenu mbona hamji au mnasubiri mfunge goli ndo mmiminike?
 
Back
Top Bottom