CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

mpaka sasa hivi Yanga kila idara wako vizuri: ukuta wa Yanga hawapungui wachezaji wanne jambo linalowawia vigumu washambuliaji wa APR kupenya
 
Mfungaji wetu, Said Bahanuz kaumia na anatolewa nje.
 
Ila hawa Army Patriotic de Rwanda wapo vizuri. Young African inabidi wawe makini sana. Halafu naona wanamfanyia faulo sana Bahanuz
 
Yanga wanashambuliwa....

Safi sana Yaw BERKO...

BERKO anaumia....
 
Vipi watani leo mtapiga tena saba zingine au zinategemea timu mnayocheza nayo?
 
Safi sana Yondani......Kona kuelekea lango la Yanga.......Inaokolewa
 
Yanga wanafanya mabadiliko

Anatoka Nizar Khalfan(ameumia) anaingia Juma Seif 'Kijiko'
 
Back
Top Bottom