Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,617
kususia sherehe za uhuru ni utoto......... Karibia kila tendo wanalofanya linazidi punguza imani ya wananchi(hasa mimi) nadiriki kusema mshauri wa chadema anawapoteza
crap!
kususia sherehe za uhuru ni utoto......... Karibia kila tendo wanalofanya linazidi punguza imani ya wananchi(hasa mimi) nadiriki kusema mshauri wa chadema anawapoteza
hawana uchungu na nchii hii, wanataka urais tu
Binafsi nimetazama ITV na TBC1 nichoona ni viongozi wa CCM na uongozi wa juu wa CUF akiwemo Maalim Seif ila sikuona kiongozi yeyote wa juu wa CDM yaani Mbowe, Arfi, Slaa, Lissu, Zitto wala Mnyika. Ndiyo tuseme walimaanisha walichosema?
Uhuru wa jk na kundi lake. Wetu si bado?
Binafsi nimetazama ITV na TBC1 nichoona ni viongozi wa CCM na uongozi wa juu wa CUF akiwemo Maalim Seif ila sikuona kiongozi yeyote wa juu wa CDM yaani Mbowe, Arfi, Slaa, Lissu, Zitto wala Mnyika. Ndiyo tuseme walimaanisha walichosema?
Binafsi nimetazama ITV na TBC1 nichoona ni viongozi wa CCM na uongozi wa juu wa CUF akiwemo Maalim Seif ila sikuona kiongozi yeyote wa juu wa CDM yaani Mbowe, Arfi, Slaa, Lissu, Zitto wala Mnyika. Ndiyo tuseme walimaanisha walichosema?
wewe kama mimi nilistuka asubuhi kwanini sikwenda kulinda shamba langu.nikagundua kua dogo alienda maana jana hakwenda shule.Maalim Seif sawa si kiongozi wa serikali. Wapinzani wengine ni kina nani wameenda? Mimi nilisahau kama ni siku ya uhuru, nilipoona sijaenda kazini nilifikiri ni J'mosi. Hata TV tu sijaangalia.
Alafu wewe na Kikwete mnakasirika na kulalamika, what the hell?Sasa watu waliochanganyikiwa unafikiri watakuja uwanjani ????? kushindwa kubaya sana !!!
Kwa hiyo subirini 2015, kwani kwa sasa JMK ndie anaetakiwa na wengi.
KUSUSIA SHEREHE ZA UHURU NI UTOTO......... karibia kila tendo wanalofanya linazidi punguza imani ya wananchi(HASA MIMI) NADIRIKI KUSEMA MSHAURI WA CHADEMA ANAWAPOTEZA
wa tz wameruka mkojo waka kanyaga mavi, hakuna uhuru ni unafiki mtupu, uhuru ni wa ccm kupokea nchi kutoka kwa wokoloni na sio wa tz