Tanzania hakuna chama cha upinzani, tuna wapiga kelele na wakosoaji

Dabil

JF-Expert Member
Sep 30, 2021
5,885
13,263
Mpaka sasa hakuna chama mbadala wa CCM, CCM imekita mizizi yake pote hadi vijijini ndani ndani. CCM ina viongozi wengi ambao ni Presidential material.

Hata leo uchaguzi ungefanyika wako wengi wanafaa ndani ya CCM ambao hata hawana majina makubwa wametulia.

Ukija kwa upande wa upinzani hakuna anayefaa kuna wanaharakati tu, ukiwaondoa viongozi wa juu wa vyama vya upinzani hakuna walioandaliwa ndo maana huwa wanachukua viongozi waliokimbia CCM na kuwaweka kwenye uongozi na wengi wao wakijiunga na upinzani hurudi CCM mapema maana hakuna ule mfumo wa watu wa maana,chain ya uongozi wa juu wa vyama vingi vya upinzani ni watu wachache sana ambao ndo wana maamuzi kwenye vyama vyao na ukiangalia hata wenyewe hawafai zaidi ya kulinda maslahi yao binafsi.

CHADEMA ina Mbowe,Lissu, Mnyika ,Lema hao ndo wanaopanga agenda wanaobaki wanasikiliza tu, fikiria chama lote inategemea watu wachache. Ukija kwa ACT - WAZALENDO Zitto Kabwe ndo kila kitu, sasa utashindana vipi na CCM ambao wana viongozi wa chama hadi vijijini,uongozi wa CCM kuanzia wilaya,kanda hadi taifa una watu wa maana kwenye maamuzi, lakini vyama vya upinzani wanaweza kujadili vitu hata wakiwa baa au nyumbani kwa mtu maana hawana mfumo mzuri wa uongozi.

Tuseme ukweli CCM ni chama iliyejenga mfumo mzuri wa kiuongozi na ipo karibu na wananchi siyo vyama vinavyojitokeza wakipata kiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kufika dar mara ya kwanza niliendaga kinondoni manyanya pale sitaji mtaa ila baada ya kuona ofisi ilivyo nikasema bora ccm waendelee tuu kwa kweli
 
Hata kwa Katiba hii na NEC hii,ufanyike uchaguzi huru na haki bila ujambazi wa vyombo vya dola kuisaidia CCM hutarudi tena kuandika huu upuuzi. CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala.
 
Umechelewa kujua ndugu...

Mimi nilijua tangu 2015....

Kidogo CUF (chama cha wananchi) kwenye peak yao walikuwa na sera zinazoeleweka.
 
Mpaka sasa hakuna chama mbadala wa CCM, CCM imekita mizizi yake pote hadi vijijini ndani ndani. CCM ina viongozi wengi ambao ni Presidential material.

Hata leo uchaguzi ungefanyika wako wengi wanafaa ndani ya CCM ambao hata hawana majina makubwa wametulia.

Ukija kwa upande wa upinzani hakuna anayefaa kuna wanaharakati tu, ukiwaondoa viongozi wa juu wa vyama vya upinzani hakuna walioandaliwa ndo maana huwa wanachukua viongozi waliokimbia CCM na kuwaweka kwenye uongozi na wengi wao wakijiunga na upinzani hurudi CCM mapema maana hakuna ule mfumo wa watu wa maana,chain ya uongozi wa juu wa vyama vingi vya upinzani ni watu wachache sana ambao ndo wana maamuzi kwenye vyama vyao na ukiangalia hata wenyewe hawafai zaidi ya kulinda maslahi yao binafsi.

CHADEMA ina Mbowe,Lissu, Mnyika ,Lema hao ndo wanaopanga agenda wanaobaki wanasikiliza tu, fikiria chama lote inategemea watu wachache. Ukija kwa ACT - WAZALENDO Zitto Kabwe ndo kila kitu, sasa utashindana vipi na CCM ambao wana viongozi wa chama hadi vijijini,uongozi wa CCM kuanzia wilaya,kanda hadi taifa una watu wa maana kwenye maamuzi, lakini vyama vya upinzani wanaweza kujadili vitu hata wakiwa baa au nyumbani kwa mtu maana hawana mfumo mzuri wa uongozi.

Tuseme ukweli CCM ni chama iliyejenga mfumo mzuri wa kiuongozi na ipo karibu na wananchi siyo vyama vinavyojitokeza wakipata kiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na watoa taarifa

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
The US Embassy in the East African country said there had been “credible allegations of significant election-related fraud and intimidation” in Wednesday’s poll in which voters were electing a president and lawmakers.

Source:CNN
Hayo ni maneno ndugu ..

Tuwekee ushahidi usio shaka...

Hayo maneno tuyaamini kisa yametankwa na mwandishi wa CNN?
 
Hata kwa Katiba hii na NEC hii,ufanyike uchaguzi huru na haki bila ujambazi wa vyombo vya dola kuisaidia CCM hutarudi tena kuandika huu upuuzi. CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala.
Nazani hapa pia umekubaliana na mtoa mada, kwamba ccm ipo kila mahali KUITOA CCM ITACHUKUA KARNE NZIMA.
 
Mpaka sasa hakuna chama mbadala wa CCM, CCM imekita mizizi yake pote hadi vijijini ndani ndani. CCM ina viongozi wengi ambao ni Presidential material.

Hata leo uchaguzi ungefanyika wako wengi wanafaa ndani ya CCM ambao hata hawana majina makubwa wametulia.

Ukija kwa upande wa upinzani hakuna anayefaa kuna wanaharakati tu, ukiwaondoa viongozi wa juu wa vyama vya upinzani hakuna walioandaliwa ndo maana huwa wanachukua viongozi waliokimbia CCM na kuwaweka kwenye uongozi na wengi wao wakijiunga na upinzani hurudi CCM mapema maana hakuna ule mfumo wa watu wa maana,chain ya uongozi wa juu wa vyama vingi vya upinzani ni watu wachache sana ambao ndo wana maamuzi kwenye vyama vyao na ukiangalia hata wenyewe hawafai zaidi ya kulinda maslahi yao binafsi.

CHADEMA ina Mbowe,Lissu, Mnyika ,Lema hao ndo wanaopanga agenda wanaobaki wanasikiliza tu, fikiria chama lote inategemea watu wachache. Ukija kwa ACT - WAZALENDO Zitto Kabwe ndo kila kitu, sasa utashindana vipi na CCM ambao wana viongozi wa chama hadi vijijini,uongozi wa CCM kuanzia wilaya,kanda hadi taifa una watu wa maana kwenye maamuzi, lakini vyama vya upinzani wanaweza kujadili vitu hata wakiwa baa au nyumbani kwa mtu maana hawana mfumo mzuri wa uongozi.

Tuseme ukweli CCM ni chama iliyejenga mfumo mzuri wa kiuongozi na ipo karibu na wananchi siyo vyama vinavyojitokeza wakipata kiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chama imara kinaogopa tume huru ya uchaguzi mpaka leo
Chama imara hakiwezi kushinda uchaguzi mpaka kiondoe kwa mizengwe wagombea wengine
Chama imara kinategemea polisi kushinda uchaguzi
Chama imara kinaogopa kuandika katiba mpya
This is a mere shame
 
Nazani hapa pia umekubaliana na mtoa mada, kwamba ccm ipo kila mahali KUITOA CCM ITACHUKUA KARNE NZIMA.
..Nakukumbusha kwamba Ccm ilikuwa chama pekee cha siasa Tanganyika/Zanzibar/ Tanzania tangu mwaka 1964/65 mpaka mwaka 1992.


.kwa msingi huo, Ccm hapo ilipo kwasababu za Kihistoria na mchango wa Watz wote, na msaada mkubwa wa dola.

..hata vyama vya upinzani vikipewa upendeleo iliopewa Ccm navyo vitaimarika na kujitanua kama ilivyo Ccm.
 
Back
Top Bottom