Genekai
R I P
- Feb 9, 2010
- 12,517
- 4,987
Sasa wakasheherekee uhuru wa nchi gani?! Maana kama Tanzania, historia inasema kua nchi hiyo haijawahi kupata uhuru (kwani imezaliwa 1964, baada ya mwaka wa uhuru 1961!!). Kama Tanganyika, hiyo ni nchi ya kufikirika kwani haiexist!!! Ivyo mkubwa ebu sema ulitaka makamanda waende kusheherekea nini hapo?!?! Hao si wauza sura aisee!
Nimeipenda hii!