johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,038
Taarifa kutokea wizarani pale Uchukuzi zinasema Viongozi Wakuu wa Vyama Vya Siasa wamealikwa katika Sherehe za Mapokezi ya Ndege ya kwanza ya Mizigo Boeing 767-300F
Miongoni mwa Wanasiasa maarufu watakaokuwepo ni Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe na msaidizi wake Tundu Antipas Lissu, KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe na Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba Bila kumsahau Katibu mkuu wa CCM Komredi Chongollo
Jumaa kareem!
Miongoni mwa Wanasiasa maarufu watakaokuwepo ni Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe na msaidizi wake Tundu Antipas Lissu, KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe na Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba Bila kumsahau Katibu mkuu wa CCM Komredi Chongollo
Jumaa kareem!