Kwa hiyo subirini 2015, kwani kwa sasa JMK ndie anaetakiwa na wengi.
cut the crap!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo subirini 2015, kwani kwa sasa JMK ndie anaetakiwa na wengi.
Binafsi nimetazama ITV na TBC1 nichoona ni viongozi wa CCM na uongozi wa juu wa CUF akiwemo Maalim Seif ila sikuona kiongozi yeyote wa juu wa CDM yaani Mbowe, Arfi, Slaa, Lissu, Zitto wala Mnyika. Ndiyo tuseme walimaanisha walichosema?
Gazeti la Uhuru linamilikiwa na ccm ambayo inamilikiwa na mafisadi wakubwa.kama gazeti la uhuru limeandika kuhusu maadhimisho hayo basi inatosha haya magazeti mengine yaandike yasiandike haisaidii chochote kwani ni baadhi ya magazeti yanamilikiwa na mabepari na mafisadi
Uhuru wa jk na kundi lake. Wetu si bado?
It cannot be said well than that! meaningless holiday!
kama gazeti la uhuru limeandika kuhusu maadhimisho hayo basi inatosha haya magazeti mengine yaandike yasiandike haisaidii chochote kwani ni baadhi ya magazeti yanamilikiwa na mabepari na mafisadi
Ama kweli, mfamaji haishi kutapatapa!
cut the crap!
Kwani APPT MAENDELEO, TLP, NCCR MAGEUZI, UDP, nk walikuwepo? Mbona siku hizi CDM inawanyima usingizi kiasi hicho? Maana hata Dkt Slaa asipoongea mnaanza kulalamika, ooh, mbona Dkt Slaa haongei siku hizi!
Kwa hiyo subirini 2015, kwani kwa sasa JMK ndie anaetakiwa na wengi.
Uliwaona wale wazee TBC1 asubuhi daaah! kuna wakati mimi huwa najiuliza hivi watu walio ipigiga kura CCM wako wapi mbona kila ninapokuta kikundi cha watu wakijadiliana juu ya uchanguzi au mwenendo wa Serikali ya CCM wana ilaani tu...Uhuru gani tena!?
Kama walee wazee wetu walioonja maisha kabla ya 1961 na haya ya sasa wanasema bora mkoloni kuna haja gani ya kusema tusherekee uhuru?
Binafsi nimetazama ITV na TBC1 nichoona ni viongozi wa CCM na uongozi wa juu wa CUF akiwemo Maalim Seif ila sikuona kiongozi yeyote wa juu wa CDM yaani Mbowe, Arfi, Slaa, Lissu, Zitto wala Mnyika. Ndiyo tuseme walimaanisha walichosema?
Uhuru gani tena!?
Kama walee wazee wetu walioonja maisha kabla ya 1961 na haya ya sasa wanasema bora mkoloni kuna haja gani ya kusema tusherekee uhuru?