Wengine ni Agness Moleli na Happy Kivuyo. Kwajins ninavyo wajua ni watu watabaka la chini sana hawana hela ya kulipa. Nadhani wataanika yote kuwa ninani aliwashurutisha
Ni kweli kwako ni tafsiri ya kitoto kwa vile unatafsiri kitoto.
Akuweka gerezani!!!. Yeye ni nani akuweke gerezani. Mahakama pekee ndiyo itakuweka gerezani. Take it or leave it
Mama ntilie atatoa wapi mil400?tusubiri muvi mpya,siri zote zitafichuliwa
Mii naona hapa CHADEMA ndo wamechemsha, sasa akishindwa kulipa watamfanyaje? hata akifungwa watakuwa wamefaidika vipi?
Kauli ya Zomba ni kauli ya Nape!!!!!CCM iwaruke kwani CCM ndio ilifunguwa kesi au? kila mmoja anabeba msalaba wake.
namalizia kwa kusema Bwana ametoa na Bwana ametwaa. jina la Bwana libarikiwe
Mii naona hapa CHADEMA ndo wamechemsha, sasa akishindwa kulipa watamfanyaje? hata akifungwa watakuwa wamefaidika vipi?
unajua katika hii regime kuna watu on top wanamalengo yao na wanaweza kumtumia mtu yeyote na kuishia kuwa victims. Chukulia mfano:Kutumiwa kubaya,öna wameishia kuvuna aibu ya kufungia mwaka.!
Kauli ya Zomba ni kauli ya Nape!!!!!
Chama cha mapinduzi CCM kimesema kama chama wao hawawezi kulipa gharama ya kupinga kesi ya ubunge wa Lema kwa kuwa wao hawakuwa na mashaka na ubunge wa Lema. Kwa hiyo gharama hizo zilipwe na waliokuwa na mashaka na ubunge wa Lema.
Hawana --ya kulipa? Huu mwaka wao,watajibeba!
Mii naona hapa CHADEMA ndo wamechemsha, sasa akishindwa kulipa watamfanyaje? hata akifungwa watakuwa wamefaidika vipi?
Mii naona hapa CHADEMA ndo wamechemsha, sasa akishindwa kulipa watamfanyaje? hata akifungwa watakuwa wamefaidika vipi?