CCM yawaruka Mussa Mkangaa na wenzake

CCM yawaruka Mussa Mkangaa na wenzake

Kama waliweza kufika Mahakama Kuu kwa TAXI na kulala Hotel kubwa watashindwaje kulipa hayo madai.hakuna aliyetamka hivyo kwani hata aliyewatuma bado kajificha na atawalipia hofu yenu ni nini?
 
chademaaa chama changuu no onee like cdm na badooo tunamaliza mwakaa kwa shangwee tuanzeee tenaa m4c ya mwaka 2013
 
Si Katibu Mkuu Makamba (enzi hizo) aliwataka wafungue kesi dhidi ya CDM na chama kitawalipia? Kweli ccm si watu...wamewaingiza kingi kisha wanawaruka!

Inabidi Pinda na Makamba wawalipie kwani nani alikuwa akimlipa wakili Mughwai!CCM acheni unafiki mlikuwa nyuma yao sasa mmepigwa chini mnajifanya hamhusiki!wauaji nyie!mwananchi gani wa kawaida anaweza kufuatilia kesi isiyokuwa na maslahi ya moja kwa moja hadi mahakama kuu kama si kiini macho!Kisu kimeingia kwenye mfupa hapo lipeni gharama za kesi.Majirani za hao wazandiki washughulikieni kisaikolojia mpaka wahame Arusha.
 
sasa counter kama inaonyesha 400m, mafisadi lazima waifisadi hata ikitoka na hivyo kuwaachia deficit hao wajinga.Lazima jamaa watoe 10% ili hela itoke mokononi mwa maghamba.Inabidi hao wajinga wajiandae kuuza nyumba mjini kati ndipo wapate ya kujazia hizo 10% za magamba.

Kweli CDM ni badgers, utawadharau ila mziki wake simba chui wanaujua.Binadamu huwa wanawaita badger wazimu kwa jinsi wanavyopewa shughuli wakiingia line yake.
 
Kama wameweza kuwalipia waliokuwa madiwani wa Arusha watashindwa vipi kuwalipia wanachama wao waliowapa ahueni kwa hii miezi minane hata Kikwete akaanza kuzoea kwenda Arusha? Kama ccm wamewatosa Batilda atawaokoa vinginevyo wataishia gereza la kisongo.
 
Walipe haraka,hata wakifungwa sio mbaya kwani ukuwadi wao ndo uliowaponza.w.e.h.u. sana hao
 
wanajikosha tu lazima watalipa gharama kuepusha mambo kuvuja. Mzee wa nywele nyeupe atawezatoa zote kwa kuwa ana maslah binafsi ka Balozi B na arusha pia.
 
Hakuna haja kuwafunga: Wapelekwe MAKUMBUSHO ya Taifa, watoto wetu waje wajifunze madhara ya kutumika kwa maslahi ya Maghamba!

Leo mwanasheria wa CHAMA CHA DEMOCRASIA NA MAENDELEO MH. tundu lisu wakati akiongea Kuhusu hukumu ya Lema kwenye kituo cha EATV amesema kuwa Viongozi wa CCM wamekuwa wakiwatuma wanaowaita wapiga kura kufungua kesi dhidi ya wabunge wa CHADEMA, Hivyo basi wanatakiwa kulipa gharama zote walizotumia kwenye kesi, Vinginevyo watafungwa
 
muda si mrefu tutawajua hawa walikuwa wamewashinikiza kufungua kesi kwa sababu ninavyojua hawako viti kiuchumi kiasi cha kuweza kulipa gharama yote ya kesi kama CCM wamekataa na pia itakuwa funzo kwa wengine waache kufungua kesi sizizo na miguu wala kichwa
 
Je mlidhani Chama Cha Magamba kitakiri hadharani kwamba kitawalipia,tusubiri hadi washindwe kulipa kwa wakati uliopangwa.Nadhani Magamba wanaweza kuwalipia kwa mkono wa nyuma
 
Wengine ni Agness Moleli na Happy Kivuyo. Kwajins ninavyo wajua ni watu watabaka la chini sana hawana hela ya kulipa. Nadhani wataanika yote kuwa ninani aliwashurutisha
Makamba Snr atawalipia maana walifungua kwa maelekezo yake nadhani walitarajia kulipwa ukuu wa wilaya si unajua vyeo vya fadhila kwa magamba ni UDC na ukijipendekeza sana unatoka na kitu cha RC si haba mwanangu nawe unapewa Shangingi mambo saaaaafi kama hujui muulize N.AApe:cheer2:
 
Mshirikina ajiandae anafikiri ccm ana rafiki ole wake maji yatamfiki shingoni kwanza ajue asithubutu kuhudhuria mikatano maana watu wanamsubiria kwa hamu na asije thubutu akaenda na wachawi wake nyambafu
Chama cha mapinduzi CCM kimesema kama chama wao hawawezi kulipa gharama ya kupinga kesi ya ubunge wa Lema kwa kuwa wao hawakuwa na mashaka na ubunge wa Lema. Kwa hiyo gharama hizo zilipwe na waliokuwa na mashaka na ubunge wa Lema.
 
Chama cha mapinduzi CCM kimesema kama chama wao hawawezi kulipa gharama ya kupinga kesi ya ubunge wa Lema kwa kuwa wao hawakuwa na mashaka na ubunge wa Lema. Kwa hiyo gharama hizo zilipwe na waliokuwa na mashaka na ubunge wa Lema.

Mods bana kwenye hizi habari hawaitaji source tukitupia nondo zetu tunaombwa source.
 
Back
Top Bottom