CCM yawaruka Mussa Mkangaa na wenzake

CCM yawaruka Mussa Mkangaa na wenzake

Chezea magamba weye kweli hili chama kila mahali usaliti tu mpaka kwa wanachama wake wanaokitumikia mh mh ngoja tuone watalipa nini wasije pata wote stroke bure
 
Hakuna Mwenye uwezo wa kulipa hasara waliyoipata wana-waarusha; Vifo vya raia wasiokuwa na hatia, biashara za akina mama kusimamishwa pasipo sababu za msingi, vijana wamefungwa bila ya haki, Mbunge wao ameshindwa kuwatumikia kwa kipindi kirefu, mikutano ilisitishwa kupelekwa A-town...CCM mnalo! Mmetengeneza uadui plus uhasama mkubwa sana Arusha! ...Wahusika waliomua bw Mbwambo kwa kumchinja kama kuku lazima wafikishwe kwenye vyombo vya kisheria, police walio ua raia kwa niaba ya CCM wachukuliwe hatua, otherwise mjiandae kuhama Arusha...
 
Kulipa ndiyo dawa ili iwe fundisho kwa wengine kama hao wanaokubali kutumika kama kondom!wakumbuke samaki hali chambo mara2..,ukitaka kujua hilo muulize diwani wa cdm nzovwe mbyt alipohamishwa chama kimagumashi asipewe alichoahidiwa..alihama mtaa kwa aibu!
 
Chama cha mapinduzi CCM kimesema kama chama wao hawawezi kulipa gharama ya kupinga kesi ya ubunge wa Lema kwa kuwa wao hawakuwa na mashaka na ubunge wa Lema. Kwa hiyo gharama hizo zilipwe na waliokuwa na mashaka na ubunge wa Lema


NA HAPO NDIPO WATAIKOMA CHADEMA, CCM IMEZUNGUKWA NA MAFISADI WENYE FEDHA WAKAE WATAFUTE PESA, LA SIVYO WAENDE MONDULI KWA LAIGWANANI TUNACHOTAKA NI MALIPO YETU
 
Hahahah!Pilipili ya Shamba inakuwashia nini?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Ndio maana leo walikuwa kama kondoo walionyeshewa namvua pale mahakamani!!idadi ya mabibipoa inaongezeka arusha! Sasa huyu mkanga ndio sijui atauza nini?arusha tunatumia voda na airtel tu.

ahahahahahaaaa mkuu olyset hebu fafanua vizuri hapo voda na airtel.
 
Ukweli utajulikana tu. Jimbo la Arusha sasa ni mali ya CHADEMA milele.
 
Mii naona hapa CHADEMA ndo wamechemsha, sasa akishindwa kulipa watamfanyaje? hata akifungwa watakuwa wamefaidika vipi?

wakishindwa kulipa bado Chadema watakuwa hawajapoteza kitu.watakao lipa ni ccm wakigoma kulipa watapelekwa mahakamani mali zao zikamatwe.kwa sababu wanachama ni wa ccm walipofunguwa kesi walifunguwa kwa niaba ya ccm hata ccm wenyewe waliona ni sawa tu.ndiyo maana hawa kuweza kutoa tamko lolote la kupinga hiyo kesi kwa sababu walijuwa pia kuwa kama wangeshinda hiyo kesi ambao wangefaidika ni ccm.
 
Mkanga anazo Vijisenti, alipokuwa diwani Arusha mjini alituhumiwa kuuza kiwanja cha wazi pale soko la kilombero?Na hakika anaweza kulipa fidia,sina hakika na wenzake.
 
Watu wenyewe kajamba nani pangu pakavu tia mchuzi! wachumia tumbo! wakome na walipe gharama zote
 
Back
Top Bottom