CCM yawaruka Mussa Mkangaa na wenzake

CCM yawaruka Mussa Mkangaa na wenzake

Zinaweza kuzidi milion 500

Kwa vile ilifika hadi Mahakama ya rufaa ni zaidi ya hizo ulizotaja hapo juu mkuu!

Gharama zinazotakiwa kulipwa ni zile za Lema kuwalipa mawakili na mashahidi wake,gharama za malazi na chakula kwa mashahidi wa Lema na jopo lake la utetezi;gharama za usafiri wa Lema na mashahidi zake na gharama mpya alizozipata kwenye usikilizwaji wa kesi hii Mahakama Kuu Arusha na baadae gharama mpya kwenye usikilizwaji wa kesi hii kwenye mahakama ya rufaa kule Arusha ikiwemo kumuingiza wakili mpya Lissu na baadae gharama ya kesi hii ilipohamia Dar(Kwa vile hati ya kiapo cha Lema inaonyesha yy makazi yake ni Arusha basi Lema na wenzake watafidiwa kwa usafiri na malazi walipokuja Dar kusikiliza rufaa yake)!

Na gharama zingine zitakazo onekana directly and indirectly zimetumika kwenye kesi hii!
 
WASHTAKI WOTE HAWA 3 (Mussa Mkangaa na wenzake)hawana nguvu za kiuchumi kupata ada ya zaidi ya tsh MILLION 15 ZINAZOTAKIWA KULIPWA MAHAKAMA KUU kwenye kesi za uchaguzi!Ni dhahiri hela hizo za kufungulia kesi walipewa na CCM!

Hawa walitumwa tu na inavyoijua CCM watawaruka kuwa HAWAKUWATUMA!CHADEMA mdai hela zenu zote na wakishindwa wafungeni jela ili liwe fundisho kwa mtu kuingilia kesi zisizomhusu!

Haki yako ya kupiga na kupigiwa kura HAZIKUVUNJWA unaenda kufungua kesi ya nini?Jina lako lilikuwepo kwenye ballot?Ulitukanwa na Lema directly kwenye mikutano yake?CHADEMA funga hawa jamaa!
 
Hawa wazee wataozea JELA! DSC00031.JPG
 
si katibu mkuu makamba (enzi hizo) aliwataka wafungue kesi dhidi ya cdm na chama kitawalipia? Kweli ccm si watu...wamewaingiza kingi kisha wanawaruka!

ccm inawapiga changa la macho hakitaki kuonyesha kinawafadhili ikilazimu watawapa ila hawataki watu wajue wao ndo watalipa
muhimu ni kulipa in direct watu wakijua wanawaunga mkono maneno
 
He is absolute right!

WASHTAKI WOTE HAWA 3 hawana nguvu za kiuchumi kupata ada ya zaidi ya tsh MILLION 15 ZINAZOTAKIWA KULIPWA MAHAKAMA KUU kwenye kesi za uchaguzi!Ni dhahiri hela hizo za kufungulia kesi walipewa na CCM!

Hawa walitumwa tu na inavyoijua CCM watawaruka kuwa HAWAKUWATUMA!CHADEMA mdai hela zenu zote na wakishindwa wafungeni jela ili liwe fundisho kwa mtu kuingilia kesi zisizomhusu!

Haki yako ya kupiga na kupigiwa kura HAZIKUVUNJWA unaenda kufungua kesi ya nini?Jina lako lilikuwepo kwenye ballot?Ulitukanwa na Lema directly kwenye mikutano yake?CHADEMA funga hawa jamaa!

wasamehewe tu jamani mungu atajalia mema zaidi
 
Nafikiri uliyeleta hii thread uliyoyaandika siyo yale aliyoyasema, na kama amesema basi ulimi wake umeteleza.

Mh. Tindu Lissu hana mamlaka yoyote kisheria kuwafunga watu jela. Hii ni kazi ya Mahakama. tusipotoshe umma.
 
Hili suala nalo nimekuwa najiuliza sana, itakuwa vipi kama CCM itasema haiwatambui hawa wafungua kesi? Itakuwa vipi CCM ya Kinana ikikataa kutoa hizo ndululu za kulipa faini? Ndio kusema baba na mama za wenyewe wataishia kudhalilishwa pengine hata asset zao kama nyumba na/ama mashamba kuuzwa kwa bei ya kutupa ya mnadani?

Mashabiki wa CCM wamekataa kubadilika eeh? hawaoni kama watu wamekuwa empowered kinamna?

Pole zao.
 
Acha kuleta tafsiri za watoto!
Hivi mtu akikwambia ntakuweka gerezani unaelewaje? Au unaleta viduku kwenye mambo ya maana?
H

Nafikiri uliyeleta hii thread uliyoyaandika siyo yale aliyoyasema, na kama amesema basi ulimi wake umeteleza.

Mh. Tindu Lissu hana mamlaka yoyote kisheria kuwafunga watu jela. Hii ni kazi ya Mahakama. tusipotoshe umma.
 
Safi sanaaaaaa lazima sasa wakanadiwe nyumba zao hao washenzi
Sii mpaka wawe na hizo nyumba? Mkuu hukumsikia Lissu alivyosema kuwa hata nauli za kuwapeleka Dar kusikiliza rufaa wanaonyesha walikopa?sasa wataijua CCM ni dude gani. Makamanda wakiwaeleza CCM ni nini watu wanajifanya viziwi ngoja waelewe kwa vitendo
 
Watauza ki slesi (Slice ya ardhi), nakulipa haya halafu km wana selfu basi wapangaji watakiona cha moto kwa kodi.
 
Chama cha mapinduzi CCM kimesema kama chama wao hawawezi kulipa gharama ya kupinga kesi ya ubunge wa Lema kwa kuwa wao hawakuwa na mashaka na ubunge wa Lema. Kwa hiyo gharama hizo zilipwe na waliokuwa na mashaka na ubunge wa Lema.

Oooh My God.
 
Acha kuleta tafsiri za watoto!
Hivi mtu akikwambia ntakuweka gerezani unaelewaje? Au unaleta viduku kwenye mambo ya maana?
H

Ni kweli kwako ni tafsiri ya kitoto kwa vile unatafsiri kitoto.

Akuweka gerezani!!!. Yeye ni nani akuweke gerezani. Mahakama pekee ndiyo itakuweka gerezani. Take it or leave it
 
cjui wataziweka wapi sura zao uku arusha maana kipindi kile tu cha kesi ........ sasa hivi je itakuwaje ili hali kesi tumeshinda ........magamba poleni sana na mnaotumika na magamba endeleeni ivo ivo kutumika kama wakina mkangaa .....
 
Daaaa nimecheka sana, CCM kweli majangili

Mimi hapa sina mbavu hapa saa hii.Nimekumbuka kiongozi wao mmoja simkumbuki vizuri aliwahi nukuliwa akisema wanachama wao wafungue kesi nyingi iwezekanavyo za kupinga matokeo ya uchaguzi kwenye majimbo ya wapinzani chama chao cha ma.j.o.k.a kitawasupport.Sasa huku kuruka kimanga ndo kumechekesha mbaya.
 
Nafikiri uliyeleta hii thread uliyoyaandika siyo yale aliyoyasema, na kama amesema basi ulimi wake umeteleza.

Mh. Tindu Lissu hana mamlaka yoyote kisheria kuwafunga watu jela. Hii ni kazi ya Mahakama. tusipotoshe umma.

Katika sheria zetu, mtu anaposhindwa kutekeleza hukumu ya faini basi hukumu ya kifungo huchukua mkondo wake moja kwa moja; kwa hiyo jamaa wakishindwa kulipa faini hiyo basi ina maana kifungo kitawafuata. Tatizo sasa ni urefu wa kifungo huko jela: inawezekana wakafungwa miaka 10 au wiki mbili, vyote ni vifungo tu. Muda huo ukifika, mahakama itaamua wakae jela miaka mingapi.
 
Katika sheria zetu, mtu anaposhindwa kutekeleza hukumu ya faini basi hukumu ya kifungo huchukua mkondo wake moja kwa moja; kwa hiyo jamaa wakishindwa kulipa faini hiyo basi ina maana kifungo kitawafuata. Tatizo sasa ni urefu wa kifungo huko jela: inawezekana wakafungwa miaka 10 au wiki mbili, vyote ni vifungo tu. Muda huo ukifika, mahakama itaamua wakae jela miaka mingapi.

Ndivyo hivyo mimi nilivyokuwa ninaamanisha, lakini ukisoma heading ya thread inaashilia kama Mh. Tindu Lissu ndiye atawafunga badala ya mahakama.
 
Ccm ni kama shetani anakudanganya ufanye madhambi kisha ukienda jehanum anaanza kukuchekelea. Ya kazi ni kwa hao vihere here wafungua kesi.
 
ukiwa makini bhana mambo yako yanakuwa makini hata yakichelewa kufika au kukamilika
 
Wakishindwa kulipa jelaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kama kawa
 
Back
Top Bottom