CCM yawaruka Mussa Mkangaa na wenzake

CCM yawaruka Mussa Mkangaa na wenzake

Afadhali yake HAWA NG'UMBI alishtuka mapema akaamua kuondoa timu uwanjani
 
Ndio maana leo walikuwa kama kondoo walionyeshewa namvua pale mahakamani!!idadi ya mabibipoa inaongezeka arusha! Sasa huyu mkanga ndio sijui atauza nini?arusha tunatumia voda na airtel tu.
 
Chama cha mapinduzi CCM kimesema kama chama wao hawawezi kulipa gharama ya kupinga kesi ya ubunge wa Lema kwa kuwa wao hawakuwa na mashaka na ubunge wa Lema. Kwa hiyo gharama hizo zilipwe na waliokuwa na mashaka na ubunge wa Lema.
MSHAHARA WA DHAMBI MAUTI. NAPE atawalipia!!! Au wamfuate Yusuph Makamba!! MENE MENE TEKELI NA PERESI!! miti yote inateleza sasa nyani kama ubwete!! tunamnasa!!
 
Chama cha mapinduzi CCM kimesema kama chama wao hawawezi kulipa gharama ya kupinga kesi ya ubunge wa Lema kwa kuwa wao hawakuwa na mashaka na ubunge wa Lema. Kwa hiyo gharama hizo zilipwe na waliokuwa na mashaka na ubunge wa Lema.

Hii habari umeitoa wapi?
 
Kuna thread wameitoa star Tv kwenye page yao ya FB kuwa gharama zote tangu mwanzo wa kesi ni Bilioni mianne.
 
Nadhani wataanika yote kuwa ninani aliwashurutisha
Hilo hata mimi nalitarajia sana. Mwananchi wa kawaida hawezi kuthubutu kuacha kazi yake inayomweka mjini, aka deal na kesi ya siasa. Hili haliingii akilini. Mhusika halisi watamtaja tu
 
Siku zote unapotumwa ukirudi na mafanikio ndio unathaminiwa sasa wao wameshindwa nani anawathamini.Swali la kujiuliza je wangekuwa wameshinda kesi ccm wasingewapongeza?

Wangepongezwa sana ila hata wakilipa hiyo gharama ya kesi pia watapongezwa maana wasijitolee tu kwa upande mmoja wa kushinda kesi pia kwenye kulipa gharama napo wajitolee na hii iwe fundisho kwa wanaojifanya wamekunywa maji ya bendera ya chama. (KAMA WALIWEKA MAWAKILI BASI NA GHARAMA ZA KESI WALIPE)
 
Safi sanaaaaaa lazima sasa wakanadiwe nyumba zao hao washenzi
 
Si Katibu Mkuu Makamba (enzi hizo) aliwataka wafungue kesi dhidi ya CDM na chama kitawalipia? Kweli ccm si watu...wamewaingiza kingi kisha wanawaruka!

almaarufu kama kesi za luteni Yusuph Makamba,sasa keshatoka makamba,kaingia Mukama na sasa ni yule msomali.
 
...Kwani yule jamaa aliyempa mimba yule mgombea wa ... si atalipa, kwani yeye ndo alikuwa anashabikia sana uchaguzi kurudiwa Arusha.
Mtakumbuka siku Kinana alikuwa Arusha yeye kawahakikishia kuwa wanachosubiri ni uamuzi wa mahakama ili wachukue jimbo la Arusha kilaini.
 
Mama ntilie atatoa wapi mil400?tusubiri muvi mpya,siri zote zitafichuliwa
 
wanasheria mliopo humu jamvini tujulisheni inakuwaje mtu akishindwa kulipa gharama za kesi pindi anaposhindwa? Hasa pale inapothibitika hana kabisa uwezo wa kulipa?
 
almaarufu kama kesi za luteni Yusuph Makamba,sasa keshatoka makamba,kaingia Mukama na sasa ni yule msomali.

Msomali namuamini sana atawalipia tu , ana vitega uchumi mikumi na serengeti .
 
Back
Top Bottom