Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
What do expect from a congegration of Alibaba and forty thieves?
nyie ndio wabaguzi msiotakiwa katika nchi hii. Najua inawauma sana kwa mswahili kukaa pale ikulu na itawauma sana 5 more years.
Unajua wabunge wa CCM ni wa chache sana wanaozijua sheria na kanuni za bunge, ukimuondoa Sitta, Harrison Mwakyembe na wengine wachache sana ndiyo wanakubalika kuwa wanazisoma sheria hizo wengine ni wauza sura, ni watu wa vijiweni wanaongea lolote litokalo kinywani wakidhani watanzania wa leo ni wale wa 1995.Chiligati ni mmoja wa vilaza ndani ya CCM press conference yake kapotezea muda waandishi hana jipya.Nahisi kina mwakyembe watamuambia baadae kuwa ametokota hakuna adhabu hapo Chiligati ni mmoja ya wabunge waliogawiwa masanduku ya kura za wizi kama Mahanga lazima alopoke kutetea ujambazi wao.HANA MPYA .Chadema haina kipimo bungeni hakuna wa kupammbana na figures zile.CHILIGATI ARUDI CHUONI AKANOE UBONGO KWANZA
Haya yalitarajiwa na nina imani kabisa kwamba Chadema watanyang'anywa hadhi ya kuongoza upinzani Bungeni.
Kwanza hali itakuwa mbaya sana kwa Chadema Bunge litakapoanza kujadili Hotuba ya JK.
Watajikuta katika wakati mgumu wa kuwepo Bungeni wakati wa majadiliano ya hotuba waliyoisusia.
Wakisusa kuwepo wakati wa mjadala huo ni sawa na kujipalia makaa zaidi.
Tulishauri tukapuuzwa. 'Negative implications' tulizokuwa tunazitolea angalizo ndio hizi sasa.
Chama Cha Mapinduzi, CCM, kinaandaa tamko na mkakati rasmi kuhusiana na kitendo cha Wabunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kuondoka katika ukumbi wa Bunge hapo jana wakati Rais alipokuwa akilifungua bunge hilo rasmi kwa ajili ya vikao vya awamu ya 2010 - 2015.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Kapteni mstaafu John Chiligati amekutana na waandishi wa Habari leo huko Dodoma na kusema CCM inapindana na hatua ya Wabunge wa CHADEMA kuondoka Bungeni.
Amesema kwamba chama chake kitapeleka tamko rami Bungeni ili ikiwezekana kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taraibu za Bunge, basi Wabunge wa CHADEMA waondoshwe katika ushiriki wa shughuli na vikao vyote vya Bunge hadi hapo watakapotambua kuwa aliyechaguliwa kwa asilimia nyingi zaidi katika uchaguzi uliopita ni Jakaya Mrisho Kikwete na ndiye Rais halali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Haya yalitarajiwa na nina imani kabisa kwamba Chadema watanyang'anywa hadhi ya kuongoza upinzani Bungeni.
Kwanza hali itakuwa mbaya sana kwa Chadema Bunge litakapoanza kujadili Hotuba ya JK.
Watajikuta katika wakati mgumu wa kuwepo Bungeni wakati wa majadiliano ya hotuba waliyoisusia.
Wakisusa kuwepo wakati wa mjadala huo ni sawa na kujipalia makaa zaidi.
Tulishauri tukapuuzwa. 'Negative implications' tulizokuwa tunazitolea angalizo ndio hizi sasa.
John chiligati wa CCM ndo ameongea hizo pumba mbele ya waandishi wa habari (this guy must be mad) eti kasema chama chake na kushirikiana na vyama vingine vinapeleka pendekezo lao bungeni waone uwezekano wa kuwazuia hawa wapiganaji
Haya yalitarajiwa na nina imani kabisa kwamba Chadema watanyang'anywa hadhi ya kuongoza upinzani Bungeni.
Kwanza hali itakuwa mbaya sana kwa Chadema Bunge litakapoanza kujadili Hotuba ya JK.
Watajikuta katika wakati mgumu wa kuwepo Bungeni wakati wa majadiliano ya hotuba waliyoisusia.
Wakisusa kuwepo wakati wa mjadala huo ni sawa na kujipalia makaa zaidi.
Jamani mapambano is not for the faint-hearted kama bwana Kishongo. Sio mara ya kwanza chama hapa nchini kususia na kutomtambua Rais. CUF ni mfano halisi na matokeo yake tumeyaona. Kama kususia na kutomtambua Rais ni inconsequential kama alivyo ashiria Rais mwenyewe na Waziri Mkuu katika hotuba zao; Why such a panic now?
Nyie ndio wabaguzi msiotakiwa katika nchi hii. Najua inawauma sana kwa mswahili kukaa pale Ikulu na itawauma sana 5 more years.