Elections 2010 CCM yatoa tamko kuhusu kitendo cha wabunge wa CHADEMA

Bahati mbaya sana kwa chadema sababu kwa kushinda majimbo zaidi ya ishirini wamejiona wako karibu sana na ushindi...ndoto za mchana hizo, serikali imeliona hili na watabana kote waliookuwa wamewalegezea. Sio hatia nzuri kwa wanachadema sababu Richmond hakuna Tena :) sijui safari hii nini! Wananchi waliowachagua wanategemea wawafanyie mabadiliko na kuleta maendeleo sio vinginevyo. Na tuone mabadiliko yatatokea wapi kwa majimbo ya chadema.Afadhali Zitto awe mwenyekiti maana Chadema ni kwa maslahi ya wafanyabiashara wachaga!!!huo ndo ukweli.
 
Tulishauri tukapuuzwa. 'Negative implications' tulizokuwa tunazitolea angalizo ndio hizi sasa.[/QUOTE said:
ulimshauri nani?
Unafikiri CDM ni watu wa kukurupuka!
 
...ndoto za mchana hizo, serikali imeliona hili na watabana kote waliookuwa wamewalegezea. Sio hatia nzuri kwa wanachadema sababu Richmond hakuna Tena :)

Great Thinker nifafanulie hapo kwenye bold;

kashfa ya Richmond imepatiwa ufumbuzi ndani ya Bunge hadi ukasema CHADEMA hawatairudisha tena Bungeni?

Au ulikuwa na maana gani hapo?
 
Kwa kufanya haya sisiemu watakuwa wamejijengea mazingira ya kujimaliza bungeni; ndipo watajua JK alimaanisha nini kusema kwamba ni afadhali Slaa awe rais kuliko Tundu Lisu kuingia bungeni!!!!!!!!!!!! Sasa yuko bungeni, na anatamani wabunge wa sisiemu wafanye hili!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Itanoga saaaaaaana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

MwanaJF Lu-ma-ga umepatia vizurisaaaaaaaaaaaaana!!!!!!!!!!!!! Hawa jamaa hawana mbele wala nyuma; bado wanaishi karne ya 19 kwenye enzi za siasa za ujima!!!!!!!!!!!!!! Safari hii bungeni kutawaka moto-waandae magari mengi pale bungeni ya maji ya washawasha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kuhusu kashfa za EPA, Richmond, Kagoda, nk serikali kivuli ya CDM wataitaka serikali ya sisiemu itoe ripoti ya utekelezaji ya maazimio ya bunge la 9, na hapo ndipo moto utaanzia!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Sasa sijui Dr HM, na wapambanaji wake watakuwa upande upi???????????????????? Katika bunge la 9 ilikuwa kati ya kambi ya upinzani+wapambanaji walio ndani ya sisiemu; lkn katika bunge hili la 10, ni kati ya serikali kivuli (first in hstory of Tz) na serikali ya sisiemu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Tusisahau kuwa bado mbichiiiiiiiii-serikali ya CDM kwa hoja nzito kisheria na kisiasa wataleta bungeni kwa kufuata kanuni za bunge (Tundu Lisu na jopo lake la ma-lawyers kibao) hoja za kudai Tume Huru na Katika mpya!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Sibunge hili!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mie nitakuwa nashinda kwenye runinga kushangilia!!!!!!!!!!!!:target: Mpaka kieleweke!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Bahati mbaya sana kwa chadema sababu kwa kushinda majimbo zaidi ya ishirini wamejiona wako karibu sana na ushindi...ndoto za mchana hizo, serikali imeliona hili na watabana kote waliookuwa wamewalegezea. Sio hatia nzuri kwa wanachadema sababu Richmond hakuna Tena :) sijui safari hii nini! Wananchi waliowachagua wanategemea wawafanyie mabadiliko na kuleta maendeleo sio vinginevyo. Na tuone mabadiliko yatatokea wapi kwa majimbo ya chadema.Afadhali Zitto awe mwenyekiti maana Chadema ni kwa maslahi ya wafanyabiashara wachaga!!!huo ndo ukweli.
ujinga huu! pumba&&&&&&fu
 
Kishongo wewe na chiligati mnaonekana kufanana!!!!!!!!!!!!!!!!! Bunge la vyama vingi lina kanuni za ku-accomodate politics za vyama vingi!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Walk-outs ni moja ya siasa hizo!!!!!!!!!!!! Labda wewe na chiligati mlikuwa hamjafahamu kwamba ni kwa mara ya kwanza katika historia ya bunge la Tz kuwa na sereikali kivuli (CDM) bungeni; huko nyuma tulikuwa na kambi ya upinzani, siyo serikali; Hawa akina tlp, nccr, kafu, udp wameshindwa sifa ya kujiunga na serikali ya CDM bungeni sas wamebaki wanagwaya kwa kutafuta kuunda serikali ya pili ya kivuli bungeni wakati wanajua kuwa sifa ya 12.5 hawawezi kupata!!!!!!!!!!!!!!!! Kitakachoumiza sisiemu bungeni ni umbumbu wa sheria/kanuni za bunge maana wanafikiri the going itakuwa rahisi!!! Upinzani halisi bungeni ni mapambano ya hoja za kuvuta hisia za jamii ya Watanzania na ya Kimataifa-wingi wa kura za sisiemu hapa hauna sehemu!!!!!; hapa kinachogombewa ni support ya wnanchi na jamii ya kimataifa, kama ulikuwa hujajua!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Chama Cha Mapinduzi, CCM, kinaandaa tamko na mkakati rasmi kuhusiana na kitendo cha Wabunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kuondoka katika ukumbi wa Bunge hapo jana wakati Rais alipokuwa akilifungua bunge hilo rasmi kwa ajili ya vikao vya awamu ya 2010 - 2015.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Kapteni mstaafu John Chiligati amekutana na waandishi wa Habari leo huko Dodoma na kusema CCM inapindana na hatua ya Wabunge wa CHADEMA kuondoka Bungeni.

Amesema kwamba chama chake kitapeleka tamko rami Bungeni ili ikiwezekana kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taraibu za Bunge, basi Wabunge wa CHADEMA waondoshwe katika ushiriki wa shughuli na vikao vyote vya Bunge hadi hapo watakapotambua kuwa aliyechaguliwa kwa asilimia nyingi zaidi katika uchaguzi uliopita ni Jakaya Mrisho Kikwete na ndiye Rais halali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Nina mashaka na aina ya ubongo ulioko ndani ya kichwa cha huyu mlevi wa ufisadi Chiligati ingawa kwa nje ana chukua umbile la binadamu. Hivi Chiligati anafahamu kwamba Bunge si mali ya kina Makinda Kikwete wala Chiligati mwenyewe? Anafahamu wabunge wa CHADEMA hawako Bungeni kwa hisani ya wezi, vibakauchumi na mapapa CCM bali ni kwa ridhaa yetu wananchi tunaowalipa wao na wa CCM?. Hebu wajaribu kuwapiga marufuku kuingia Bungeni waone moto utakavyowaka. Tutaandamana bila ya kuhitaji kibali toka kwa Mbowe wala Slaa hadi kuwaondoa ikulu na kuwapeleka wanakostahili - Mahakamani kukabiliana na mashtaka ya kuichezea demokrasia na kugeuza matakwa ya wananchi. Kwa hili hatutamwogopa Shimbo au yeyote atakayekuja kuwatetea wahaini hao. Bila shaka Chiligati ameamka na mvinyo wa jana unaomshawishi ajikombe kwa Kikwete ili "amkumbuke" katika "utukufu" wake safari hii tena.

 
Bahati mbaya sana kwa chadema sababu kwa kushinda majimbo zaidi ya ishirini wamejiona wako karibu sana na ushindi...ndoto za mchana hizo, serikali imeliona hili na watabana kote waliookuwa wamewalegezea. Sio hatia nzuri kwa wanachadema sababu Richmond hakuna Tena :) sijui safari hii nini! Wananchi waliowachagua wanategemea wawafanyie mabadiliko na kuleta maendeleo sio vinginevyo. Na tuone mabadiliko yatatokea wapi kwa majimbo ya chadema.Afadhali Zitto awe mwenyekiti maana Chadema ni kwa maslahi ya wafanyabiashara wachaga!!!huo ndo ukweli.

Brother,is this you????Come on man,u can do better than this!!!
 
Zipo njia nyingi za kumwambia mtu kwamba wewe ni mwizi na sikutaki. Mojawapo iliyo rahisi , iliyo salama na ya amani ni hii iliyotumiwa na CHADEMA. Mimi naamini wabunge wa CCM wanaoijua vizuri sheria kama akina SITA na Mwakyembe hawawezi kuwa na mawazo kama ya Chiligati .
 
Bahati mbaya sana kwa chadema sababu kwa kushinda majimbo zaidi ya ishirini wamejiona wako karibu sana na ushindi...ndoto za mchana hizo, serikali imeliona hili na watabana kote waliookuwa wamewalegezea. Sio hatia nzuri kwa wanachadema sababu Richmond hakuna Tena :) sijui safari hii nini! Wananchi waliowachagua wanategemea wawafanyie mabadiliko na kuleta maendeleo sio vinginevyo. Na tuone mabadiliko yatatokea wapi kwa majimbo ya chadema.Afadhali Zitto awe mwenyekiti maana Chadema ni kwa maslahi ya wafanyabiashara wachaga!!!huo ndo ukweli.
Kufikiri kunahitaji kichwa na sio makalio, wewe hutaki kutumia kichwa. Wewe uko ulimwengu upi hata hujui kinacho endelea? kwa taarifa yako lililotokea Bungeni ni la halali na limewaumbua sana CCM na vibaraka wao kwa vile wamefedheheshwa kwa wananchi,jamii ya kimataifa hata kwa wake/waume zao majumbani. Ile move ya kisayansi hawakuitegemea kabisa.
Na kuhusu kuwafungia,subutu! Ile ngoma ya kumfungia Zito tuu iliwahenyesha itakuwa wabunge zaidi ya 40? na jee nguvu ya umma wataiweza? Unakumbuka Nyamagana? sasa lili kasheshe likizuka nchi nzima wanao uwezo wa kuhimili? Ndio maana nakuambia fikiri kabla hujaandika upupu.
 
hivi huyu chilly baada ya kujitia aibu ktk sakata la bashe hajakoma tu, anawapiga mkwara chadema kuwa watafukuzwa bungeni, akishindwa si aibu yake na chama chake, mama....e!
 
Ole wao!
Basi wakubali kwamba walichakachua matokeo then tufanye yafuatayo;
1.marekebisho ya katiba kikiwemo kifungu kile kitakocho tengua matokeo potofu ya uchaguzi.
2. Tuchague (sio kuteua) Tume huru ya uchaguzi ambayo itakuwa independent na iongozwe na watu watakaokuwa wazuri na wazoefu wa kufafanua vifungu vya sheria na katiba ya Nchi.
3.wasimamizi wa uchaguzi majimboni wasiwe Wakurugenzi wa wilaya kama ilivyosasa.
4. Tuchague kiongozi mkuu wa TAKUKURU na aape kuwajibika kwa masrahi ya taifa na ikithibitika kama ameenda kinyume na utendaji wa ofisi kwa kumpendelea mtu yeyote yule basi anyongwe mpaka kufa.
Eventually the NEC will declare a call for the General Election.

kwa mpango huu katiba ndio kimbilio letu, kwa sasa karibia kila mtanzania analia na katiba mbovu inayowalinda wachache katika maovu yao.
 
Back
Top Bottom