Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Siku zote kazi ya ofisi ya mtu kama Nape katika chama ni kule KUTIA MAFUTA PALE PANAPOONEKA KUELEKEA KUPAUKA kimaslahi katika taasisi inayompa kula.
Hivyo, mpaka hapo ukweli tumeshaupata kamili humu na kile anachokifanya Nape hapa nacho tumeshakielewa vizuri sana tu.
Hakika ni hizi funika funika za CCM ndizo zilizotufikisha hapa tulipo kama taifa na ht kupamba kisichopambika.
Kesho tu utasikia wamemlazimisha mzee wa watu kwenda Press Conference kukiokolea sura CCM. Karibu Nape, mhadhara huu ni wako tngu sasa endelea kutiririka upendavyo.
Hivyo, mpaka hapo ukweli tumeshaupata kamili humu na kile anachokifanya Nape hapa nacho tumeshakielewa vizuri sana tu.
Hakika ni hizi funika funika za CCM ndizo zilizotufikisha hapa tulipo kama taifa na ht kupamba kisichopambika.
Kesho tu utasikia wamemlazimisha mzee wa watu kwenda Press Conference kukiokolea sura CCM. Karibu Nape, mhadhara huu ni wako tngu sasa endelea kutiririka upendavyo.