CCM yapasuka? Kinana ang'atuka...

CCM hawana spinal-cord kwani hawakupaswa subiri hadi sasa,ndipo waanze pata ujasiri.Soon tutaanza pokea defectors mitaani.Ingawa hawa kwa CDM hawatakuwa na faida ya moja kwa moja zaidi ya kuidhoofisha CCM kwani hawawezi gombea uongozi kwa muda watakaoingia.
 
bml1.jpg


Duh! Hii picha imeniacha hoi...ningekuwa Waziri wa Fedha nikitoka hapo nafanya kama alivyofanya Kinana!​
 
inaelekea jk anamkoromea? halafu ona sitta anavomshangaa!!

JF kuna picture zilizokwenda shule.nadhani yule michuzi na style yake ya enzi zile za uhuru na mzalendo anatakiwa jifunze hapa. Mapicture yaek ya watu wakicheka tuu katik apose hayana some kwa watu wenye kuchambua mambo, zadi ya mabinti kule face book ndio watachomeka wow...they/you look great.Picture ya kifo cha Mwangosi nayo ili speak a million.

Kila nikiingalia napata more information.Hembu jaribu fikiri characteristics za hao mawaziri hapo 6 tunajua ni mwoga, mtazame na hapo, maghembe ni kama cell isiyo na charge(polarity), mtoto wa mkulima...na huyo mgeni wa fedha...kuna mengi yanajieleza.Na mkuu mwenyewe...oops. Anapewa demarcations.

Soon ki wallet chake kitakuja kuandika humu articles za kiuchumi kama vile ni kimegundua "Principles of Economics" kwa kelele nyingi na huku kikitishia wan CDM.Hichi ki wallet kazi yake ni hii ya mkuu wa kaya, huku kikiwaona wengine hawajui vitu ambavyo vimekaa katk makaratasi kwa karibu karne kadhaa.
 
Uzushi dhidi ya Kinana kutogombea unasikitisha!
Uamuzi wa Kinana kutogombea umepokewa kwa hisia tofauti...blah blah blah
...
Uzushi mwingine ni wa ajabu sana..
Hapa labda mimi ndiye ni mzito wa kuelewa lakini kama Kinana mwenyewe kaamua kutogombea, huo uamuzi wake unakuaje tena uzushi?

Mathalani tukubaliane kuwa sababu ya kuamua kufanya hivyo labda ni tofauti na ilivyoelezwa mwanzo lakini hili pekee halifuti ukweli kuwa ameamua kutogombea.

Hii ni thread ya kipuuzi na kijinga na ilitakiwa ifutwe mara moja. haina hadhi ya kujadiliwa humu JF labda facebook na vijiwe vya mtaa wa Lumumba.
 
bml1.jpg


Duh! Hii picha imeniacha hoi...ningekuwa Waziri wa Fedha nikitoka hapo nafanya kama alivyofanya Kinana!​
Mkuu kwenye hiyo picha JK ni wazi alikuwa anazungumza maneno mbofumbofu,huyo waziri wa fedha hadi anaonekana kama vile anamtuliza.Wengine wameshtushwa kama hawaamini macho yao wala masikio.Pinda ndo yuko defensive kama vile hataki hata kuingilia hiyo maneno,si unajuwa wanasema "body language", iko kwenye "defensive mode"

Kaazi kwelikweli, i wish ningejuwa ni maneno gani hiyo.Siyo siri hakuna ukawaida hapo,sura zao zote hadi ya JK zinaonyesha kulikuwa na kamsuguano hapo.
 
Mkuu kwenye hiyo picha JK ni wazi alikuwa anazungumza maneno mbofumbofu,huyo waziri wa fedha hadi anaonekana kama vile anamtuliza.Wengine wameshtushwa kama hawaamini macho yao wala masikio.Pinda ndo yuko defensive kama vile hataki hata kuingilia hiyo maneno,si unajuwa wanasema "body language", iko kwenye "defensive mode"

Kaazi kwelikweli, i wish ningejuwa ni maneno gani hiyo.Siyo siri hakuna ukawaida hapo,sura zao zote hadi ya JK zinaonyesha kulikuwa na kamsuguano hapo.

Sio hilo tu, mimi kwa mara ya kwanza nimemwona (public photos) JK akizungumza bila kucheka!!!
 
Namsubiri Nape aje atupe kauli yake :Ni maneno gani mazuri anadhani Kinana angeweza yatumia kama sababu zaidi ya hayo Nape aliyoya-quote mwenyewe huku diplomasia ikizingatiwa?
 
Sio hilo tu, mimi kwa mara ya kwanza nimemwona (public photos) JK akizungumza bila kucheka!!!
Kwenye maslahi yake hacheki na mtu.Tungejuwa agenda za mkutano,pengine tungeweza kukisia atakuwa akimwambia nini,lakini ninavyoifahamu JF,itakuja kujulikana tu one day tatizo ni kitu gani,kwasababu hapo ni wazi anamkoromea.Si waziri wa fedha huyu?
 
Nape unatakiwa kujua kuwa si kila mtanzania ni mjinga. Tunafahamu kuwa wanachosema wanasiasa na wanachofanya si lazima vifanane. wewe mwenyewe unajua vizuri sana kuwa ndani ya chama kuna watu wengi ni wa kwanza kuimba kuhusu rushwa, uhalifu na ufisadi. Lakini ndio hao hao wameficha mapesa Usiwisi, ndio hao hao wahalifu wakubwa na ndio hao hao mafisadi wakubwa.

Knowing mzee Kinana persoally, i would say that, whether he said it or not, or whether he used exact words as you quoted him, deep inside he knows what he is doing.

It does not take Kinana's words to know that tupo kwenye siasa uchwara, it does not take a college diploma to know that we are in shambles.

Believe me brother, wote wenye akili timamu na wenye busara kama Mzee kinana, watajiweka pembeni kwa busara, na sio kwa kutoa kauli chafu na kujeopardize future ya chama.

Ukiangalia mazingira ya zengwe, majungu, siasa za uswahili na fitna yaliyopo sasa kwenye meli inayozama, utajua kabisa kuwa wenye hofu na mabadiliko wanafanya kila njia na kutojali aibu na dhalili so as they can save thier necks. Lakini wale waiso na hofu na wenye heshima zao wako pembeni tuli wanawaacha wenye hofu kutapatapa.

My brother jitahidi sana kufanya kazi yako in a more professional manner, if you put yourself in the middle of this madness of who said what and what meant what, yopu will be throwing yourself into a deep ditch.

Kina Kinana (bila kujali kama ni msafi au mchafu) wanatufundisha siasa kutokana na hatua wanazochukua kwenye mazingira kama haya. Best thing to do is to watch and learn.
 
Kutokana na chama chenu kilivojaa hila, uwongo, mbinu chafu, wizi, ufisadi u-kolimba nk chochote kinachosemwa na makada wenu hakuna anayeamini ni cha kweli au kinatoka rohoni!Kifupi CCM imekosa credibility mbele ya umma, mfano hata wewe mwenyewe bungeni mishipa ilikutoka ukipigania swala la kigamboni hadi ukafukuzwa nje ya bunge leo hii upo unaitetea ccm hiyohiyo!!shame on you sijui wewe doctor wa nn??
Huku jimboni tunajuta kuwa na mbunge mnafiki Kama huyu tunawaonea wivu kawe na ubungo
 
AL sadat
Mwana Mpotevu
Ieleweke kuwa watu hatubishi, kinachotakiwa katika uandishi mtu jitahidi kueleza source ya habari iwe kama ni kama mojapo ya:
  • Tetesi toka mjengoni
  • Mhusika toka mjengoni katipa tip
  • Habari zilizovuja toka mjengoni
  • Taarifa toka kwa Nape
  • Nukuru kutoka chombo cha habari
  • Nk.
Hata kama chanzo kamili hakija kamilika inatupa fursa ya kuijadili huku tukiwa na tumaini fulani kuwa habari itakuja kamilika lakini tunaweza kujadili.

Habari hii ilivyoletwa haikuwa kamili hasa kuelezea wapi alikopata taarifa hizo ingawa habari yenye ina mvuto sana.
Tunapojaribu kuelezea hayo ni kwa nia njema ya kuelimishana, nafasi nyingine anapoleta habari iwe kamili au breaking news walao iwe na information za source.

That's all what we'r talking about.

Tujitahidi kuipa Jamii Forums hadhi stahiki kama moja ya source kubwa ya habari hapa nchini.
Candid Scope

Kati ya watu ninaowaheshimu humu jamvini, wewe ni mmoja wapo. Najua utakuwa na upeo mkubwa wa kufanya Judgement pale unapokutana na habari na kuamua kuichukua kama ni kweli ama porojo. Pia wewe ni mzoefu SANA ndani ya JF

Unaweza ku-judge according to the credibility ya mtoa uzi hata kama hajatoa source. Kuna watoa uzi ambao ukikuta taarifa yake humu haihitaji wala kuwa na shaka naye kwa mujibu wa historia yake ya kuleta topics.

Unaweza ku-judge according to political affiliation ya mtoa uzi. Naamini anapotoa uzi Rejao (mfano) au anapotoa Mungi au Aweda, na ukisoma maudhui ya uzi wenyewe, moja kwa moja uta-judge usahihi wake accordingly.

Unaweza Ku-judge kutokana na status ya mtoa uzi. kama ni Member na mwingine ni Gold member ama Bronze member, hivyo pia vinaweza kutumika kama kigezo (ingawa sio muda wote) cha usahihi wa habari.

Unaweza kuzoma between the lines na ukaja na conclusion kuwa huo uzi ni sahihi au la hata kama hujawekewa source.

Unaweza ukawekewa source lakini bado uzi ukawa ni uongo, tena source kama haw auliowasema ie. habari toka mjengoni, watu wa karibu na Jk etc.

Cha Muhimu, kama una uhakika uzi sio wa ukweli, hebu jitokeze na kusema kuwa uzi huu sio ukweli kwasababu moja...mbili....tatu..... na wewe uwe na uhakika kuwa ni kweli mtoa uzi kaongopa.

Back to uzi wa leo:

Waliosema kuwa mtoa mada kaongopa, hakuna hata mmoja aliyesema usahihi ni nini. kwakuwa walikuwa hawajui usahihi ni nini, basi ni bora wangechukulia kama tetesi na kukaa kimya na hata kuacha ku-comment maana kwa kufanya hivyo "wangeficha upumbavu wao" (Invinsible). Lakini kwa kusema kuw auzi huu ni uongo wakati wao wenyewe hawaujui ukweli, wamejianika kuwa wao ndio waongo na wasiofikiri.

Yupo mmoja kadiriki kusema huyo mtoa uzi ni mmoja kati ya waliosemwa na JK kuwa wanamilikki kiwanda cha uongo, sasa truth imekuwa revealed. nani anayemiliki kiwanda cha uongo, huyu mtoa uzi ama yule aliyetuhumu wakati hajui ukweli?

Kila niiingiapo JF na kusoma thread zote, najua kabisa hii ni kweli na hii ni porojo na hii ni tetesi bila hata kuuliza source ni nani kwa vigezo nilivyoeleza hapo juu.
 
Last edited by a moderator:
Huku jimboni tunajuta kuwa na mbunge mnafiki Kama huyu tunawaonea wivu kawe na ubungo

Yupo busy anapima upepo unaenda wapi ili ajue kuna kambi ngapi, na nani mpiga debe wa hizo kambi halafu atachagua kambi ya kuingia.Hii ndiyo CCM chama cha hovyo sana.Kuna watu(madalali) wa nafasi ya uwaziri, na nafasi nyingine, sasa hao ndio wanapiga deal ya ujumbe wa NEC.Si umeona ktk picture Nape anavyocheka na wenzie.
 
Nape unatakiwa kujua kuwa si kila mtanzania ni mjinga. Tunafahamu kuwa wanachosema wanasiasa na wanachofanya si lazima vifanane. wewe mwenyewe unajua vizuri sana kuwa ndani ya chama kuna watu wengi ni wa kwanza kuimba kuhusu rushwa, uhalifu na ufisadi. Lakini ndio hao hao wameficha mapesa Usiwisi, ndio hao hao wahalifu wakubwa na ndio hao hao mafisadi wakubwa.

Knowing mzee Kinana persoally, i would say that, whether he said or not, or whether he used exact words as you quted him, deep inside he knows what he is doing.

It does not take Kinana's words to know that tupo kwenye siasa uchwara, it does not need a colleague diploma to know that we are in shambles.

Believe me brother, wote wenye akili timamu na wenye busara kama Mzee kinana, watajiweka pembeni kwa busara, na sio kwa kutoa kauli chafu na kujeopardize future ya chama.

Ukiangalia mazingira ya zengwe, majungu, siasa za uswahili na fitna yaliyopo sasa kwenye meli inayozama, utajua kabisa kuwa wenye hofu na mabadiliko wanafanya kila njia na kutojali aibu na dhalili so as they can save thier necks. Lakini wale waiso na hofu na wenye heshima zao wako pembeni tuli wanawaacha wenye hofu kutapata.

My brother jitahidi sana kufanya kazi yako in a more professional manner, if you put yourself in the middle of this madness of who said what and what meant what, yopu will be thriowing yourself into a deep ditch.

Kina Kinana (bila kujali kama ni msafi au mchafu) wanatufundisha siasa kutokana na hatua wanazochukua kwenye mazingira kama haya. Best thing to do is to watch and learn.
Chezeya JK wewe!Hii maneno(raia mwema),walimquote Makongoro Nyerere enzi zilee za kuvuana gamba wakati Nape na JK walipolikoroga ili kuwafanyia usanii wananchi kuwa magamba si chama cha kifisadi?


Hayo maneno ya Makongoro yalinichekesha sana...
hata kama siku moja Mungu alipata kukutana na shetani barabani." Akasema kule site (kwenye eneo la ujenzi ambako yeye ndiko anakoshinda akichanganya zege na kupiga bati) wanasema na wanataka watuhumiwa wote wa ufisadi watoke kwenye nafasi zao.

"Lowassa ni ndugu yangu.Sina matatizo naye.Najua ananipenda, nami nampenda.Lakini kule site wanasema hapana.Atoke. Tena nawe Mweyekiti ulipokwenda Monduli, ukainua mkono wake juu, ukasema hujapata kuona kama yeye (Lowassa), kule site wakauliza, sasa hii ndiyo nini?

"Rostam simfahamu vizuri. Ninakotembelea yeye hawezi kuja na mimi siwezi kwenda anakotembelea. Sina ugomvi naye.Lakini kule site wanasema naye hapana. Ulipokwenda Igunga ukamuamsha mkono ukasema ni kama timu ya mpira iliyokamilika watu kwenye site wakauliza sasa hii ndiyo nini?

"Nasikia Chenge wanamwita Mzee wa Vijisenti. Ni ndugu yangu. Sina hakika kama anavyo vijisenti kiasi hicho. Lakini kwenye site, si mimi, watu wanasema naye hapana, " alikaririwa akisema Makongoro.
Mifano aliyoitaja Makongoro kwa kumhusisha Kikwete ilijitokeza wakati akiwa katika kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2010, katika majimbo ya Igunga alikokuwa akigombea ubunge Rostam na Monduli alikogombea ubunge Lowassa.

Akiwa katika majimbo hayo, Kikwete aliwanadi viongozi hao waliokuwa wamepitishwa na chama chake kuwania ubunge, licha ya tuhuma za ufisadi zilizokuwa zikielekezwa kwao.
Nape bado una hofu?
Nape alisema hakuna haja ya kuwa na hofu ya mageuzi yanayofanyika sasa ndani ya CCM kwa vile yanalenga kukiboresha chama hicho.

"Kama kwa kusimamiavyema rasilimali na kupiga vita rushwa na ufisadini kutaleta mpasuko, nadhani mpasuko huo utakuwa ni mwema kwa vile utaondoa dhambi ndani ya chama," alisema Nape akiomba vyombo vya habari kuwa na subira. Aliongeza Nape: "Ikifika hatua ya wananchi kuwa na shaka ya uadilifu wa mtu au chama,ni lazima kuhakikisha shaka hiyo inatoka kwa kufanya mageuzi."
Nape kubali uliingizwa chaka,toka lini ccm wakawa wapinga ufisadi?Pole zako,unachaganywa akili na wewe bado tu na magamba.Sasa nguvu mmeshaishiwa utaendelea kuwa vuvuzela tu badala ya kutumikia taifa na wananchi.
 
Nilishawah kutabiri kuwa mwisho wa ccm ni mwaka 2012. Nafurah kuona utabiri wangu unaanza kufanya kazi.
 
Back
Top Bottom