CCM yapasuka? Kinana ang'atuka...



Join Date : 14th September 2008
Posts : 393
Rep Power : 593
Likes Received: 422
Likes Given: 0



Wewe kweli ni noma, hapo kwenye nyekundu !
 
Pasco,

Mimi sio Nape na siye uliyeniuliza swali, lakini naomba nitoe ufafanuzi kidogo.
Kinana hajagombea nafasi za uongozi katika uchaguzi. Hii ni tofauti na mtu aliye madarakani anapoyaacha madaraka hayo. Madaraka ya Kinana yamemalizwa kwa mujibu wa katiba ya chama na sasa ni uchaguzi ambao angeweza kuamua kugombea au kutogombea.
Katika hali kama hiyo hakuna sababu ya kuandika barua.

Sijasema kuwa hakuna barua iliyoandikwa ila sioni umuhimu wa kuchimbachimba na kutafuta barua iwapo mtu ameamua kutogombea nafasi fulani ya uongozi.
Hapo kwenye RED naunga mkono hoja...na kweli, kwa maana hiyo kuandika barua ni kiroja!
 
Kuhusu mashaibu ya Hussein Bashe kule CCM, ... Mbiki Msumi, baba yake alikua Jaji hapo nyuma kidogo na mdogo wake yuko njiani naye kuelekea huo huo ujajia akitokea mahakama kanda ya Arusha.

Hata hivyo, mwelekeo wowote juu ya Bashe, Kinana pamoja na Rage itakua na ujumbe mzito sana nyuma yake kama ambavyo ilivyowahi kufikirika hapo nyuma kidogo.

Mzee Kinana, kama Bashe, pole sana na yaliokupata kisiasa leo upenuni mwa jumba hili linalokimbiwa kwa jina la CCM. Laiti ungalijua mapema ....
 
Kinana ana umri gani? Umri wa kustaafu ni miaka mingapi?

Tambua kuwa watu hufanya shughuli za siasa kwa purpose fulani sio kwa mazoea. Mtu anapoona ile purpose imetimia au haiwezi kutimia hana sababu ya kuendelea kung'ang'ania madarakani. Hizo siasa za kugombea tu ili mradi aonekane yuko madarakani ni siasa za mazoea na huu siyo wakati wake.

Kumbuka uchaguzi huu ungempa Kinana majukumu kwa miaka mingine mitano. Je, yuko tayari kubeba majukumu kwa miaka hiyo mitano?

Unajua daktari wake amemshauri vipi?

Unajua familia yake ina msimamo gani?

Unataka tukuamini wewe kuwa ndio unaona umri wa kinana ni wa kustaafu siasa???kinana bado kwa maana ya uwezo anaweza kutumikia CCM hata kwa miaka 10 zaidi na kuongeza 10 kama mshauri...khs afya sijui na familia niambie wewe nanai katika historia ya nchi yetu na hata CCM ameacha uongozi wakati anaumwa wengi ufia kwenye kazi na siasa ili wapate msaada zaidi wa kimatibabu habari ndio hiyo unajaribu kupotosha mamobo.

LKN ukweli ni kuwa ni mapema sana kwa kinana kuaacha siasa there must be something wrong some where...think abt it.
 
Nape nae kaleta vimaneno vichache, sisi atuletee barua yote ukute na yeye kachambua maneno yanayo mridhisha.

Naona suala la mzee kungatuka ni kweli ila Nape anasema sababu alizoziandika mtoa mada sizo
 
Halafu huyu Judi wa Kishua ni mkabila, uchaga unatoka wapi tena? Kwanza kusema CDM ni chama cha kichaga ni kosa na huko ni kutudhalilisha sisi tusio wachaga.......kwa hili nimechefukwa na roho!!!!

achana naye ANAMIMBA YA UKABILA huoni anavo tematema mate hapa jf harafu yananuka ukabila kweli naona sio mda mrefu atajifungua FARASI.MAANA ANA DALILI ZOTE!
 
Kuna makundi mengi sana ccm hivi sasa,halafu sasa ishakuwa kama miluzi mingi ambayo itamchanganya mbwa.

Kuna wanaojiita wapinga mafisadi,ambao wanakubaliana na mafisadi kuwa kuna mambo ya familia(yani wale waliopita bila kupingwa nk) ndani ya chama,sasa sijui hii vita yao itakapokwisha nani atakuwa msindi?wenye kutetea ufamilia wako kundi gani kati ya mafisadi vs wanaowapinga?very interesting...

hapo kwenye undugu ndio kero kwangu familia na watoto,dada,na mashangazi,binamu daaah vyama vya kiafrika bana ni tatizo ANC kidogo bora democratic USA Jamani vyama vibadilike tumechoka kuvumilia ujinga.
 
Kuna dhoruba inaikumba ccm mda si mrefu sasa kinana hataki kuwa sehemu ya waathirika wa dhoruba hiyo.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kesho utasikia Kinana si Raia wa Tanzania maana lazima ameng'atuka si kwa kheri.WACHA MAGAMBA WAZIKANE.Nimepata taarifa kuwa Nape Nnauye Anampigania Mwasisi mwenzie wa CCK Bw Makonda kushinda UVCCM kuimarisha S.Sitta Vission 2 state house.
 
Nape,
Pasco kauliza, je Kinana kaandika barua? hatuhitaji maudhui tunachotaka kujua ni kama amefanya hivyo.
 
Mimi Nape siwezi mwachia kirahisi hadi anipe jibu .Ni maneno gani alidhani Mzee Kinana angeweza tumia ili kuwakilisha hili bila vunja diplomasia?
 
Hebu ngoja niulize!
Ina maana kikao cha CCM bado kinaendelea hadi sasa au Nape hayupo serious kwa kile alichokileta hapa?! Ameandika alichokiandika, amesepa zake huyooo! Hakujisumbua kujibu japo post moja na wla Online haonekani!!! Ni nini hii?! Yaani anaamini akiandika tu wadau watameza maandishi yake, au?! Ningekuwa na mamlaka humu jamvini, ningeondolea mbali hii thread na ikabaki ile ile aliyokuja kuikanusha otherwise aje kujibu hoja za wadau.
 
Mkuu Nape, kwanza asante kujitokeza mapema kuujibu ule uzushi!, lakini kusema tuu ni uzushi hakutoshi!. Ile thread unayoiita ya uzushi, inazungumzia barua Kinana aliyoiandika!, wewe unazungumzia maneno Kinana aliyoyatamka, hivyo ni vitu viwili tofauti!.

Sasa ili kanusho lako liwe na maana, tungeshukuru kama ungetufafanulie
  1. Jee Kinana ameandika barua?.
  2. Kwenye barua hayo uliyoyasema wewe ndiyo yaliyomo kwenye hiyo barua?.
  3. Kama ameandika barua, na hayo uliyoyasema ni matamshi ya mdomo, then ile thread still stands mpaka uthibitishe hata kwenye barua, yale hayapo!.
  4. Mode, Nape akithibitisha ule ni uzushi, then funge ile thread na kumpatia muanzisha thread haki yake!.
  5. Nape, tunakushauri, karibu tena na tena sio tuu kukanusha thread za uzushi, bali pia jitokeza kujibu baadhi ya hoja valid kuhusu CCM!.
Asante.

Pasco.
Hivi mkuu Kinana na EL wapo kundi moja?Maana kama habari hizi ni kweli(kuhusu Nape na gutter politics),basi ina maana Nape ni common enemy wao.(EL na Kinana)

Lakini then, EL kuna wanaodai(Nape et al),kuwa ni gamba la kuvuliwa(RA alifanya ila EL na Chenge wamegoma),vipi kuhusu Kinana?anakubaliana na Nape kwenye hilo la kumvua EL gamba?Ama Kinana naye naye ni mojawapo ya magamba/mafisadi yaliyopewa 90 days?

Je unahisi hizo anazoziita siasa uchwara ni hayo mambo ya familia peke yake?ama na yeye hapendi hayo mambo ya kuvuana magamba?
 
Back
Top Bottom