CCM yapasuka? Kinana ang'atuka...

Uamuzi wa Kinana kutogombea umepokewa kwa hisia tofauti lakini kuna watu wanajaribu kupotosha ....ETI NI KUACHANA NA SIASA UCHWARA...!!!!! hii hapa chini ndio sehemu ya maneno yake binafsi juu ya uamuzi wake huu....

"SIJAGOMBEA KWAKUWA MIAKA 25 YA KUSHIRIKI KATIKA KAMATI KUU NADHANI INATOSHA NA NI VIZURI KUNG'ATUKA. NAAMINI KUNA WANACCM WENGI WAZURI WENYE SIFA NA UWEZO WA KUONGOZA CHAMA. UONGOZI NI KUPOKEZANA VIJITI NA NI WAKATI WANGU KUKABIDHI WENGINE KIJITI HIKI"

Sasa wanaosema eti siasa uchwara wanayatoa wapi........ Uzushi mwingine ni wa ajabu sana..
 
Aliyeleta mada kaingia mitini, hayuko hapa kujibu hoja za source ya habari. Nichangie nini kama hata moderator hajathibitisha wasiwasi wa wengi kuhusu ukweli wa habari hii? Namwona Mod Buchanan akiwamo ndani ya uzi huu kushuhudia kinachoendelea.?
 
Aliyeleta mada kaingia mitini, hayuko hapa kujibu hoja za source ya habari. Nichangie nini kama hata moderator hajathibitisha wasiwasi wa wengi kuhusu ukweli wa habari hii?

Mbona nasikia kaamua kuachia ngazi kwa hiari kuwapisha wengine? Huko mbele kuna taflani na wengine hawataki kuwa sehemu ya historia ya yatakayotokea.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Nape labda kwa mdomo kuna baadhi aliwaambia kuwa CCM inaendekeza siasa uchwara na kwenye barua kaandika vingine

Je kuna ukweli kwamba kuna kundi kubwa mumewatibua watatimuka
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Nape on a serious note Kinana deep moyoni mwake anakerwa na jinsi CCM inavyoendeshwa. Naona ameamua kungatuka ili asiwe sehemu huo ubovu.

Nilitegemea angejiuzuru mara tuu baada ya uchaguzi wa 2010 bse kuna mambo yeye kama yeye yalikuwa yanamkera. Ila nampongeza ni zamu ya damu changa sasa kushika hatamu za chama
 
Jamaa unapima mashabiki,ushawachonganisha hapo unawaendesha utakavo kwa kuwapima upeo,kweli si kila aliye jamiiforum ni great thinker
 
Nnauye Jr amekanusha kuhusu chanzo cha kung'atuka. Ipo thread nyingine inayotoa ufafanuzi.
 
Naona Nape kaanzisha uzi mwingine kukanusha 'kuachana na siasa uchwara'!!Ila ni kweli Mzee Kinana hagombei!!!
 
Kwa maelezo ya Nape ni kweli Kinana ameng'atuka. Ila anasema (Nape) kuwa taarifa iliyoletwa imepotishwa. Link ya uzi wa Nape hii hapa.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-dhidi-ya-kinana-kutogombea-unasikitisha.html


Aliyeleta mada kaingia mitini, hayuko hapa kujibu hoja za source ya habari. Nichangie nini kama hata moderator hajathibitisha wasiwasi wa wengi kuhusu ukweli wa habari hii? Namwona Mod Buchanan akiwamo ndani ya uzi huu kushuhudia kinachoendelea.?
 
Ni habari za kweli hiz ila bado kuna utata wa nini kakisema...

Haya hapa ni maneno ya Nape mwenyewe HAPA!

Uamuzi wa Kinana kutogombea umepokewa kwa hisia tofauti lakini kuna watu wanajaribu kupotosha ....ETI NI KUACHANA NA SIASA UCHWARA...!!!!! hii hapa chini ndio sehemu ya maneno yake binafsi juu ya uamuzi wake huu....

"SIJAGOMBEA KWAKUWA MIAKA 25 YA KUSHIRIKI KATIKA KAMATI KUU NADHANI INATOSHA NA NI VIZURI KUNG'ATUKA. NAAMINI KUNA WANACCM WENGI WAZURI WENYE SIFA NA UWEZO WA KUONGOZA CHAMA. UONGOZI NI KUPOKEZANA VIJITI NA NI WAKATI WANGU KUKABIDHI WENGINE KIJITI HIKI"


Sasa wanaosema eti siasa uchwara wanayatoa wapi........ Uzushi mwingine ni wa ajabu sana..

##nakuomba mods msiunganishe hii thread na ile ya uzushi tafadhali!
 
Uamuzi wa Kinana kutogombea umepokewa kwa hisia tofauti lakini kuna watu wanajaribu kupotosha ....ETI NI KUACHANA NA SIASA UCHWARA...!!!!! hii hapa chini ndio sehemu ya maneno yake binafsi juu ya uamuzi wake huu....
"SIJAGOMBEA KWAKUWA MIAKA 25 YA KUSHIRIKI KATIKA KAMATI KUU NADHANI INATOSHA NA NI VIZURI KUNG'ATUKA. NAAMINI KUNA WANACCM WENGI WAZURI WENYE SIFA NA UWEZO WA KUONGOZA CHAMA. UONGOZI NI KUPOKEZANA VIJITI NA NI WAKATI WANGU KUKABIDHI WENGINE KIJITI HIKI"​


Sasa wanaosema eti siasa uchwara wanayatoa wapi........ Upuuzi mwingine ni wa ajabu sana..
##nakuomba mods msiunganishe hii thread na ile ya uzushi pls

Nashukuru kwa kujitokeza haraka kuweka kumbukumbu sawa katika jukwaa hili.

Mbona hili mmefanya mapema hivi kuja kukanusha?! I can sense the sign of RED FLAG! Nafahamu wazi kwamba udhaifu mkubwa wa CCM ni ama kupuuza moja kwa moja au kuchelewa kuchukua hatua za kujibu tuhuma mbalimbali dhidi ya chama hususani zinazotolewa hapa JF! Au ndo tuseme Idara ya Uenezi imezaliwa upya na kwa kasi mpya?! Hata hivyo msisahau kwamba, mashahidi wa tuhuma za Richmond, including Dr. Msabaha ndani ya kiapo alisema vingine na nje ya kiapo "akawang'ata sikio" kwamba mzigo ni wa bwana mkubwa na yeye anatolewa kafara tu....so, inawezekana kabisa Kinana kwenye barua ameandika kwamba anang'atuka kupisha damu changa na nje ya barua akawang'ata watu sikio kwamba hawezi kuendelea na siasa uchwara!
 
Mbona nape unajaa upepo wakati ni kweli kaachana na siasa uchwara za CCM! Huu ndio ukweli...
 
Back
Top Bottom