Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli utajulikana tu ni suala la mda tu!
Mkuu Ze Marco', thread ile inahusu contents za barua ya Kinana kung'atuka. Kanusho la Nape ni kauli ya Kinana, hivyo ni vitu viwili tofauti!.Mimi sio Nape na siye uliyeniuliza swali, lakini naomba nitoe ufafanuzi kidogo.
Kinana hajagombea nafasi za uongozi katika uchaguzi. Hii ni tofauti na mtu aliye madarakani anapoyaacha madaraka hayo. Madaraka ya Kinana yamemalizwa kwa mujibu wa katiba ya chama na sasa ni uchaguzi ambao angeweza kuamua kugombea au kutogombea.
Katika hali kama hiyo hakuna sababu ya kuandika barua.
Sijasema kuwa hakuna barua iliyoandikwa ila sioni umuhimu wa kuchimbachimba na kutafuta barua iwapo mtu ameamua kutogombea nafasi fulani ya uongozi.
Uamuzi wa Kinana kutogombea umepokewa kwa hisia tofauti lakini kuna watu wanajaribu kupotosha ....ETI NI KUACHANA NA SIASA UCHWARA...!!!!! hii hapa chini ndio sehemu ya maneno yake binafsi juu ya uamuzi wake huu....
"SIJAGOMBEA KWAKUWA MIAKA 25 YA KUSHIRIKI KATIKA KAMATI KUU NADHANI INATOSHA NA NI VIZURI KUNG'ATUKA. NAAMINI KUNA WANACCM WENGI WAZURI WENYE SIFA NA UWEZO WA KUONGOZA CHAMA. UONGOZI NI KUPOKEZANA VIJITI NA NI WAKATI WANGU KUKABIDHI WENGINE KIJITI HIKI"
Sasa wanaosema eti siasa uchwara wanayatoa wapi........ Uzushi mwingine ni wa ajabu sana..
##nakuomba mods msiunganishe hii thread na ile ya uzushi tafadhali!
Mkuu Ze Marco', thread ile inahusu contents za barua ya Kinana kung'atuka. Kanusho la Nape ni kauli ya Kinana, hivyo ni vitu viwili tofauti!.
Ili kanusho la Nape, liwe valid, then Nape aseme, hakuna barua, yaani hata hiyo ya uwepo wa barua ni uzushi!. Pili Kinana hajang'atuka bali hagombei!. Hivyo swali langu bado lipo, barua ipo, au haipo?, endelea kumjibia!.
P.
Leo tuko pamoja Elizabeth Dominic,
Hii speed ya mwanga aliyokimbia nayo Nape siyo ya CCM tunayoijua......
Labda kama alitokea kwa Mch Rwakatare kuombewa!
Mkuu Ze Marco', thread ile inahusu contents za barua ya Kinana kung'atuka. Kanusho la Nape ni kauli ya Kinana, hivyo ni vitu viwili tofauti!.
Ili kanusho la Nape, liwe valid, then Nape aseme, hakuna barua, yaani hata hiyo ya uwepo wa barua ni uzushi!. Pili Kinana hajang'atuka bali hagombei!. Hivyo swali langu bado lipo, barua ipo, au haipo?, endelea kumjibia!.
P.
Ukweli utajulikana tu ni suala la mda tu!
magamba kwisha habari yao hata campaign manager? kwa kauli ya nape kwamba wanaoondoka ni magamba wabajivua . Je kinana ni gamba ndani ya ccm?
Jf sasa ni kijiwe cha porojo...
Mods ondoen huu ujinga
hakuna ukweli wowote
Kweli hii ni ngumu kumeza lakini sometimes inabidi tujiridhishe kwa muda hadi itakapodhihirika kuwa ni kweli au la.