Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,036
- 23,875
1.Kaka nape naomba kuuliza hivi ww ni katibu mkuu au mwenezi kwenye chama chetu mie huwa sielewi duties zako nahisi unaingilia hadi nafasi za watu wengine
2. Na pia vipi zile siku 90 za mafisadi ndania ya chetu.. Au ni ulmaansha miezi 90?
- sorry kwakuwa ofpoint but naomba ufafanuzi jembe
2. Na pia vipi zile siku 90 za mafisadi ndania ya chetu.. Au ni ulmaansha miezi 90?
- sorry kwakuwa ofpoint but naomba ufafanuzi jembe