CCM yapasuka? Kinana ang'atuka...

CCM yapasuka? Kinana ang'atuka...

Ameacha baada ya kwenda nchi za nje na kuona Watanzania walivyobadilika. Anajua Tanzania inahitaji mwelekeo mpya na wameishiwa na agenda
 
Ameshaona kuwa kwa mwenendo wa chama chao sasa hivi ataishia kuaibika.
 
Mkuu nngu007 point of correction Said Kibwana alikuwa Sales & Marketing Manager wa General Tyre kipindi hicho.Ikumbukwe kipindi hicho kulikuwa na uhaba wa matairi sana Bwana Kibwana alionekana kama lulu akanogewa na siasa akajiingiza kugombea ubunge huko kwao akaangukia pua na huo ukawa mwisho wa utajiri wake.Bwana Kibwana alikuwa na wake wawili wote wakamkimbia mmoja wapo kaolewa na Maulid wa Kitenge mtangazaji wa Radio One.

Kinana team yake enzi hizo ni LOWASSA, KIKWETE, SAID KIBWANA (GM GENERAL TYRE) na LT. G KARUBI (alikuwa

Mkuu wa Kambi ya OLJORO... alikuwa haishi KAMBINI anakaa MJINI Karibia na Hao Marafiki zao)

Wakati ule 25yrs Ago; Walikuwa na MIKAKATI Mingi ya WAO as a GROUP kuendelea... KIONGOZI alikuwa KINANA

Halafu LOWASSA then KIKWETE na hao Wengine... Na KIMADARAKA ilikuwa hivyo hivyo... MBUNGE

kuwakilisha Wananchi alikuwa ni KINANA pekee ARUSHA MJINI... Sasa naona kwa Siasa za KIKWETE

GROUP LIMEVUNJIKA Kina Karubi yeye alikuwa anaendesha biashara zao especially ya MELI ambazo

KINANA ana JOINT-OWNERSHIP... NDIO WALIKUWA WENYEWE PALE ARUSHA...
 
akapumzike 25 years inatosha kwake kwa mazuri tutamkumbuka ila kwa mambaya walipoufukisha nchi tunaona ni ***** tu
 
Mkuu nngu007 point of correction Said Kibwana alikuwa Sales & Marketing Manager wa General Tyre kipindi hicho.Ikumbukwe kipindi hicho kulikuwa na uhaba wa matairi sana Bwana Kibwana alionekana kama lulu akanogewa na siasa akajiingiza kugombea ubunge huko kwao akaangukia pua na huo ukawa mwisho wa utajiri wake.Bwana Kibwana alikuwa na wake wawili wote wakamkimbia mmoja wapo kaolewa na Maulid wa Kitenge mtangazaji wa Radio One.

Hii nayo ni reference...(!)
 
Mkuu nngu007 point of correction Said Kibwana alikuwa Sales & Marketing Manager wa General Tyre kipindi hicho.Ikumbukwe kipindi hicho kulikuwa na uhaba wa matairi sana Bwana Kibwana alionekana kama lulu akanogewa na siasa akajiingiza kugombea ubunge huko kwao akaangukia pua na huo ukawa mwisho wa utajiri wake.Bwana Kibwana alikuwa na wake wawili wote wakamkimbia mmoja wapo kaolewa na Maulid wa Kitenge mtangazaji wa Radio One.

kheee kama ndo hivo basi maulidi kaoa mtu mwenye umri sawa na mama yake..
 
Mkuu nngu007 point of correction Said Kibwana alikuwa Sales & Marketing Manager wa General Tyre kipindi hicho.Ikumbukwe kipindi hicho kulikuwa na uhaba wa matairi sana Bwana Kibwana alionekana kama lulu akanogewa na siasa akajiingiza kugombea ubunge huko kwao akaangukia pua na huo ukawa mwisho wa utajiri wake.Bwana Kibwana alikuwa na wake wawili wote wakamkimbia mmoja wapo kaolewa na Maulid wa Kitenge mtangazaji wa Radio One.


Mke wa Kwanza wa Kibwana alikuwa na watoto Wawili nae... Waliachana na akaja kumuoa

Mtoto wa Kayugwa Arusi yake enzi hizo walienda MIKOA kama 6 an yote wanafanyiwa Vi-Party

na Matajiri wa MIKOA hiyo Huyu alikaa nae sasa na wana tatoto watatu kama sikosei... 1988

ALIPANDISHWA CHEO KUWA GM na Assistant GM alikuwa ni Mzungu... Yeye KIBWANA yeah

wanawake wameondoka lakini PESA anazo bado Yuko kwenye Biashara ya IMPORT and EXPORT...

na Ana Ma-GOD Fathers - Kikwete; Lowassal Kinana...
 
Kila la heri Kinana. Kaendelee na biashara za vitalu!!!! Hivi huyu si walisema si raia? Ila alikuwa mjeshi asiye raia!!! Tanzania bwana!! Akae tu mbali asikosoe maana issue ya uraia itaanza upya!! Mkampeni Mkuu!!
 
Mkuu nngu007 point of correction Said Kibwana alikuwa Sales & Marketing Manager wa General Tyre kipindi hicho.Ikumbukwe kipindi hicho kulikuwa na uhaba wa matairi sana Bwana Kibwana alionekana kama lulu akanogewa na siasa akajiingiza kugombea ubunge huko kwao akaangukia pua na huo ukawa mwisho wa utajiri wake.Bwana Kibwana alikuwa na wake wawili wote wakamkimbia mmoja wapo kaolewa na Maulid wa Kitenge mtangazaji wa Radio One.

Ndiyo huyu mke wa pili au wa kwanza? Kuna picha ilirushwa arusi ya huyu bwana na mke alikuwa mtu mzima sana hadi nikashangaa kupita maelezo. Inaonekana mama yule ni over 10 years kwa Kitenge!! Mapenzi ni kengeza, huoni!!
 
Mkuu nngu007 point of correction Said Kibwana alikuwa Sales & Marketing Manager wa General Tyre kipindi hicho.Ikumbukwe kipindi hicho kulikuwa na uhaba wa matairi sana Bwana Kibwana alionekana kama lulu akanogewa na siasa akajiingiza kugombea ubunge huko kwao akaangukia pua na huo ukawa mwisho wa utajiri wake.Bwana Kibwana alikuwa na wake wawili wote wakamkimbia mmoja wapo kaolewa na Maulid wa Kitenge mtangazaji wa Radio One.


kitenge2.jpg



Nafikiri ni mke huyu mnasemea au? Du umri umeenda sana!! Mapenzi kikohozi, ni kengeza!!!
 
Mkuu Zogwale bila shaka huyu ndiye aliwahi kufanyakazi Air Tanzania enzi za usichana wake alikuwa bomba sana.

kitenge2.jpg
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nngu007 siku hizi Bwana Kibwana ana fedha za kubadilisha mboga enzi zake alikuwa na fedha za kumwaga.Katika uhai wa General Tyre cheo cha General Manager kilikuwa kikishikwa na wazungu [Marekani] pekee Bwana Kibwana alikuwa akikaimu nafasi ya General Manager wakati likizo ya General Manager anapokuwa ameenda Marekani kwa mapumziko yasiyozidi mwezi mmoja kila mwaka.


Mke wa Kwanza wa Kibwana alikuwa na watoto Wawili nae... Waliachana na akaja kumuoa

Mtoto wa Kayugwa Arusi yake enzi hizo walienda MIKOA kama 6 an yote wanafanyiwa Vi-Party

na Matajiri wa MIKOA hiyo Huyu alikaa nae sasa na wana tatoto watatu kama sikosei... 1988

ALIPANDISHWA CHEO KUWA GM na Assistant GM alikuwa ni Mzungu... Yeye KIBWANA yeah

wanawake wameondoka lakini PESA anazo bado Yuko kwenye Biashara ya IMPORT and EXPORT...

na Ana Ma-GOD Fathers - Kikwete; Lowassal Kinana...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nngu007 siku hizi Bwana Kibwana ana fedha za kubadilisha mboga enzi zake alikuwa na fedha za kumwaga.Katika uhai wa General Tyre cheo cha General Manager kilikuwa kikishikwa na wazungu [Marekani] pekee Bwana Kibwana alikuwa akikaimu nafasi ya General Manager wakati likizo ya General Manager anapokuwa ameenda Marekani kwa mapumziko yasiyozidi mwezi mmoja kila mwaka.

Fedha za kubadilisha MBOGA ndio zipi?
 
Haya ni matokeo ya makundi na wanafikiri watu hawa watayaondoa! Alafu Mzee Kinana unaelewa maana ya Kung'atuka?
 
Wanajamvi,
Nnauye jr amekuja hapa haraka kutokana na thread iliyosema ' Kinana ang'atuka.... kuachana na siasa uchwara'.
Alichokifanya Nape ni kukubali kuwa Kinana ameng'atuka na hapo tu amethibitisha kuwa ile thread ina element za ukweli kama si ukweli kamili.

Asichokubaliana nacho ni matumizi ya neno 'kuachana na siasa uchwara'. Amenukuu maneno ya Kinana bila kutueleza yametoka katika kikao, FB au katika barua.

Pasco ameuliza, je ni kweli barua imeandikwa au ni uzushi? Nape amekimbia hataki kujibu hilo wala wapi maneno ya Kinana yanapatikana. Hadi hapo unaweza kuona namna alivyojichanganya.

Kwanini Nape amekuja kwa kasi? Jibu ni kuwa vikao vya chama vinaendelea na habari hizi kuvuja JF zinaufikia umma kwa haraka sana. Kitakachotokea ni wale wenye hati hati ndani ya chama kujipanga kabla ya kumalizika vikao.
Ni kuzuia mkakati uonaonekana kuwa una sababu maalumu. Mtu kama Kinana hahitaji kutangaza, angekuwa na option ya kutochukua fomu basi hilo tu lingetosha kumuondoa katika nafasi.

Kitendo cha Kinana kusema hayo aliyoyasema kinaashiria ujio wa jambo zito. Anaweza kuwa amefanya hivyo kwa kukusudia baada ya kutathmini hali ya chama na mustakabali, au anaweza kuwa amefanya hivyo ili ku-set tone kwa maamuzi yanayoonekana kuwa mazito.

Kwahiyo msibabaike sana ujio wa Nape ni katika mkakati wa 'pre-emptive strategy' hasa baada ya JF-Leak.
Nisomeni vizuri, Jumatano na Alhamisi zitakuwa siku zenye habari nyingi za kisiasa, siku zitakazoonyesha hatima ya CCM na wale waliokubali kubeba jeneza na kibao cha R.I.P.

Nasema R.I.P kwasababu damage ya chama ni kubwa sana kiasi kwamba kinachohitajika ni injini mpya na si bodi.
Hilo halitatokea katika makundi yaliyopo na kuparaganyika ni jambo la kwanza hata kama litafunikwa na maneno 'tumeingia wamoja tumotoka wamoja'. Underneath there is a big rift for the part to stand tall as it used to be.
Tulisema lipo jambo na Nape alikuwa analijua! Sina uhakika kama kinana ametamani ''siasa uchwara tena''
Swali la Pasco halikuwahi kujibiwa.

Nape, JF is ahead of time always!
 
Inakuwaje mtu anakula matapishi yake mwenyewe,ameamua kupumzika then anarudi tena kushika nafasi ya katibu mkuu wa chama,ni tamaa ya hela,madaraka au kukosa msimamo!
 
Mjumbe wa Almashauri kuu na kamati kuu ya CCM captain Abdulharaman kianana amejiuzulu nafasi zota alizonazo ndani ya CCM kwa madai ya kuachana na siasa uchwara.

Kinana amekuwa mjumbe wa NEC kwa zaidi ya miaka 22 pia amewahi kuwa waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa.

Jumatano ndio mambo yote, baada ya NEC huenda viongozi wengi wa CCM wakahamia upinzani.





***********************************


UPDATE (Kutoka Magazetini)

Mwananchi | Sept 24, 2012

Kinana Ang'atuka!

KADA maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahaman Kinana ametangaza kung'atuka rasmi katika siasa baada ya kukitumia chama chake kwa miaka 25 akiwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Kamati Kuu (CC) na Kamati ya Maadili.

Kinana ambaye amekuwa Meneja wa Kampeni za mgombea urais wa CCM tangu mwaka 1995 ulipoanza uchaguzi wa vyama vingi, alisema kwamba baada ya kutumikia chama katika nyadhifa za juu kwa robo karne sasa, ameamua kupumzika ili kuwaachia vijana waendelee kukijenga chama hicho kikongwe nchini na barani Afrika.

"Nimekuwa Mjumbe wa NEC kwa miaka 25, bila shaka muda huu unatosha, kwani wanaCCM wamenipa heshima ya kuwa katika vikao vya juu vya chama kwa robo karne. Sasa ni wakati wa kung'atuka, nimetoa mchango kwa kadri nilivyoweza katika vikao mbalimbali na katika shughuli nyingi," alisema.

Alisema anaamini kuachana kwake na siasa hakutakuwa na madhara kwa chama chake, kwani CCM ina hazina kubwa ya viongozi ambao wana sifa na wanaweza kuongoza chama hicho kuelekea Uchaguzi wa 2015.

"Uongozi ni kupokezana vijiti. Wako wanaCCM wazuri, walio na uwezo mkubwa na sifa za kutosha kuongoza. Nawashukuru wanaCCM na viongozi kwa heshima waliyonipa wakati wote huu," alisema Kinana ambaye alikuwa Meneja wa Kampeni wa Rais Benjamin Mkapa kwa vipindi viwili na Rais Jakaya Kikwete kwa vipindi viwili vya uchaguzi.

Kinana alisema anajivunia kufanya kazi na marais wote wa Tanzania kuanzia Mwalimu Julius Nyerere hadi Rais Kikwete kwa uadilifu mkubwa na kuheshimiana.

"Ushauri wangu katika vikao umekuwa ukiheshimika sana. Nimekuwa nikiheshimiwa na uongozi wote wa CCM na hata wapinzani nao tunaheshimiana. Nimesimamia kampeni za kistaarabu na ambazo zimeleta ushindi mkubwa kwa CCM tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi," alisema.

Kinana ambaye pia alikuwa Spika wa Kwanza wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), ameshauri vijana ndani ya CCM watangulize masilahi ya taifa mbele na wasikilize wananchi.

Ni muhimu washikamane, wabuni mikakati ya kusaidia kukuza uchumi kwa haraka zaidi na kuendeleza umoja na undugu wetu," alisema.

Ushauri wa viongozi wapya CCM
Kinana alishauri viongozi wapya ambao wanatarajiwa kuchaguliwa ndani ya chama chake, iwapo wataona upungufu wake wausahihishe.

"Ni matumaini yangu kuwa watakaopata uongozi wataona upungufu na watasahihisha makosa yangu," alisema.

Kuhusu Uchaguzi Mkuu wa 2015, Kinana aliwaasa viongozi wasiwaze nani anafaa kuwa mgombea urais bali washughulikie kero za wananchi.

"Bado tuna kazi kubwa ya kutekeleza Ilani. Tusiwasumbue Watanzania kuwa ni nani anafaa kuwa Rais bali tushughulikie matatizo yao. Kwa sasa ajenda ya CCM ni kutekeleza ahadi zetu katika sekta zote siyo kutafuta nani atakuwa Rais 2015," alisema na kuongeza:

"Hata wapinzani wawaeleze Watanzania yale ambao wamedhamiria kutekeleza. Kueleza upungufu wa CCM ni mtaji mdogo kwa wapinzani, ajenda kubwa ni watafanya nini? Hapa bado wana kazi kubwa. Wanapoona upungufu wasisite kutusema,"

Kinana ambaye ana shahada ya uzamili katika utawala na masuala ya sera kutoka Chuo Kikuu cha Harvad nchini Marekani, alisema anatarajia kufundisha na kusoma Shahada ya Uzamivu (PhD) katika moja ya vyuo vikuu vya hapa nchini.

"Baada ya kustaafu kuna mambo mawili ambayo natarajia kufanya. La kwanza ni kuona kama naweza kufundisha. Pili kusoma katika mojawapo ya vyuo vikuu vyetu," alisema.

Mbali na nyadhifa zilizotajwa huko juu, Kinana ametumikia Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa muda mrefu na kupanda cheo hadi kufikia Kanali.

Amewahi kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa na Mbunge wa Arusha Mjini.

Nape alisema Kinana ni miongoni mwa wanasiasa waadilifu wa CCM ambao wamekitumikia chama kwa muda mrefu na kwa uaminifu wa hali ya juu.

Ni kweli hajagombea, lakini kutokugombea kwake hakujafungwa milango kwa CCM kumtumia au kutumia uzoefu wake pale watakapomhitaji.

Alisema "Kwa mfano Mwenyekiti wa CCM ana nafasi alizopewa kikatiba kuteua wajumbe wa NEC, huwezi kujua anaweza akamwona anafaa na akamteua,"
🥶🥶
 
Back
Top Bottom