Tuko pamoja, hatuna maana ya kwamba alisema uongo, la hasha, hapa ni kujaribu kukumbushana, na kama alikuwapo online angetujibu kwamba source ya habari yake ni wapi.
Kwa bahati nzuri Nape alitokeza na kujibu kuhusu habari hiyo, hilo ndilo lilitupa watu uelewa kwamba habari ni ya kweli.
Kwa vyo vyote ni kukumbusha tujitahidi kuweka kitu kinachotuongolewa wasiwasi juuya source, inasaidia, wengine kwa uzoefu wa mambo ya habari, kuleta habari bila kuonyesha source tunajisikia kama dhambi, lakini kwa asiyekuwa na uzoefu katima mambo ya habari vyo vyote ni sawa tu. Ila tunapoandika hapa ambapo kuna watu wa kila aina ambao wengine upeo wao katika habari ni wa juu ni vema kama tutakumbuka kuweka chanzo cha habari, hata kama hakuna hakika ukiandika tetesi tutaijadili kama ilivyo tetesi.