Egwugu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,558
- 8,552
Jk anamwogopa sana edo
JK hamwogopi Edo bali anafanya mema kwa ajiri ya watanzania walio wengi ...Yaaani rais amwogope ghost?
Jk anamwogopa sana edo
Atakuwa ameiacha CCM kwenye mikono sahihi na kusema nilipewa ikiwa nzima na mkapa namuachia mtu sahihi wtanzania kwa ujumla wao hata aisyejua kusoma akiskia Rais ni fulani anajua Ncho iko mikono salama.
JK hamwogopi Edo bali anafanya mema kwa ajiri ya watanzania walio wengi ...Yaaani rais amwogope ghost?
Slaa anaweza kuingia ikulu kama ccm itapitisha haya membe,lowasa,ramadhani,mwandosya.
JK hamwogopi Edo bali anafanya mema kwa ajiri ya watanzania walio wengi ...Yaaani rais amwogope ghost?
Hivi hayo majinga aliyoyakodi yanakaa wapi si hiyo hotel iwake moto usiku tu .
Hueleweki ndugu, upo act lakini unatetea ccm kulikoni?
Alie msafi kwenye cc achukue jiwe amlenge mchafu
Kamati kuu ya ccm baada ya sintofahamu ya siku mbili, imebadili ghafla eneo la kufanyia mkutano wao kutoka Dodoma na kwenda Ikulu Dar,
Hali hiyo inafuatia taarifa za intelijensia kuwa Lowasa na Timu yake tayari wameweka kambi Dodoma wakijiandaa kwa maandamano na kuvamia ukumbi kama shinikizo la kuzuia jina la mlalaheri Lowasa kwa pepo ya mabwege lisikatwe.
Kwahatua hii tegemea maamuzi mazito au ya kipuuzi leo, Wajumbe wamegeuza tayari Kuja dar na kikao kitafanyika Leo usiku ikulu dar.
Timu Lowasa mnaarifiwa kuwa nendeni mkaandamanie Ikulu ya magogoni ili muone hasira ya kibanga wa ubara.
"Urais Tanzania, kuanzia 25/10/2015, iwe mchana au usiku, iwe kiangazi au masika, iwe mawingu au jua kali, Dr Slaa chini ya UKAWA ndie rais wa wote, wema na wabaya".
Yericko naona kila siku heshima yako inashuka!!
Kamati kuu ya CCM inayotarajiwa kukutana leo jioni jijini Dar es Salaam itatoa ujumbe mzito kwa wasaka urais wa CCM.
Rais Kikwete anayetarajiwa kuongoza kikao hicho, mbali na teuzi mbalimbali zitakazofanyika, pia Kikwete ameonyesha kukerwa na baadhi ya mwenendo ya wasaka urais wa CCM wakiwemo January Makamba, Edward Lowassa na Benard Membe ambapo anatarajiwa kutoa ujumbe mzito kwao.
Kiwete ameonyesha kustushwa na mwenendo wao wa kupiga kampeni waziwazi huku akisema kuwa "kamati kuu haitothubutu kuwapitisha wafanya mazingaombwe"
Unajua nae ni binadamu unaweza kuwa na rafiki ambae ..amekuchefua inafika hatua unavumilia mpaka wengine wanakuona kama kunguru kumbe ni heshima kuwa kwa nguvu ulizo nazo zikitumika itakuwa ni panzi kukanyagwa na mguu wa tembo...Alijaribu muda mlefu kufikisha ujmbe kuwa Urais hauna ubia...leo Taifa liko hapa kwa tiketi ya CCM..nakinacho endelea wananchi wanaona.Hadhi ya Rais ni kama Baba hivyo washiriki wote wa kinyang'anyiro walipaswa wote kupewa stage moja kwa kuwa wote ni watoto wa Rais mmoja anaitwa Jakaya Kikwete.Sasa wengine kucheza faulu za wazi wazi mpaka kufikia hatua hii tena kuandaa vulugu...kuwatishia nyau watu wazima ni sura mbaya sana na inajaribu kushusha heshima ya Tasisis ya Mwneyekiti wa chama chao cha CCM.Kweli kabisa mkuu, tumuombe Mungu ampe hekima wakati wa kufanya maamuzi
CCM tuko imara sana! Hizi taarifa wala sio mpya ila wajumbe wana taarifa zote bila shaka.
Utahangaika sana na CCM wakati UKAWA hawana mgombea mpaka leo.
Mandla.
Unajua nae ni binadamu unaweza kuwa na rafiki ambae ..amekuchefua inafika hatua unavumilia mpaka wengine wanakuona kama kunguru kumbe ni heshima kuwa kwa nguvu ulizo nazo zikitumika itakuwa ni panzi kukanyagwa na mguu wa tembo...Alijaribu muda mlefu kufikisha ujmbe kuwa Urais hauna ubia...leo Taifa liko hapa kwa tiketi ya CCM..nakinacho endelea wananchi wanaona.Hadhi ya Rais ni kama Baba hivyo washiriki wote wa kinyang'anyiro walipaswa wote kupewa stage moja kwa kuwa wote ni watoto wa Rais mmoja anaitwa Jakaya Kikwete.Sasa wengine kucheza faulu za wazi wazi mpaka kufikia hatua hii tena kuandaa vulugu...kuwatishia nyau watu wazima ni sura mbaya sana na inajaribu kushusha heshima ya Tasisis ya Mwneyekiti wa chama chao cha CCM.
Na hakika tamko hilo kama lipo leo basi litashape uchaguzi moja kwa moja na kuwapa wanaccm nyakati njema kuwa kumbe chama bado kina wasimamizi.