CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

yericko ujui kilicho nyuma ya pazia.......... upepo wa cc umegeuka mvutano mkubwa unaendele.. wengi waamaki edo asikatwe.......
 
yericko ujui kilicho nyuma ya pazia.......... upepo wa cc umegeuka mvutano mkubwa unaendele.. wengi waamaki edo asikatwe.......
 
....

....mashetani yakinyongana kwa Mungu ni ushindi !!!

Magamba bwana kama vichaa,
Huyo baba yao anaewaita magogoni kapitia misele hyo hyo mpaka akaingia ikulu,leo anajifanya yye hayako mitikasi,
Kweli mavi ni ya kukupiga,bata huwa anaharisha!
 
si walisema kitafanyika Dodoma , imekuwaje tena wamefanya U - TURN ?
 
Kila la kheri JK ktk kuwatafutia watanzania kiongozi bora
Atakuwa ameiacha CCM kwenye mikono sahihi na kusema nilipewa ikiwa nzima na mkapa namuachia mtu sahihi wtanzania kwa ujumla wao hata aisyejua kusoma akiskia Rais ni fulani anajua Ncho iko mikono salama.
 
Wakutoa ujumbe mzito ni nani? Kikwete huyuhuyu?? Atashia kuwaambia "Wajiandae kisaikolojia" We subiri utaniambia..!!

BACK TANGANYIKA
 
....

"Urais Tanzania, kuanzia 25/10/2015, iwe mchana au usiku, iwe kiangazi au masika, iwe mawingu au jua kali, Dr Slaa chini ya UKAWA ndie rais wa wote, wema na wabaya".

OVER !!

slaa ameshasahaulika huyo,juzi kaitisha mkutano kapata watu kiduchuu,dr kwisha habari yake....
 
Hivi hayo majinga aliyoyakodi yanakaa wapi si hiyo hotel iwake moto usiku tu .
 
Binafsi nawashauri wasisumbuke hats kumjadiri Lowassa wamwache akajifie huko mbele, mtu mpuuzi hivi unapoteza mda wako wa nini kumjadiri? Pigeni chini hilo jizi kuu.
 
Anaepiganiwa akatwe na wanaopigania wamkate sioni tofauti yake naona wote ni maccm na kwa maana hiyo ni mafisadi yaliyobobea. ...sasa kumkata mtu wakati hawana tofauti je yanatumia kigezo gani magamba haya?
Hapo mkuu suala sio ufisadi, suala ni "mwenye kinyongo asiingie ikulu asije kulipiza kisasi" cc Lizaboni.
 
Last edited by a moderator:
Binafsi nawashauri wasisumbuke hats kumjadiri Lowassa wamwache akajifie huko mbele, mtu mpuuzi hivi unapoteza mda wako wa nini kumjadiri? Pigeni chini hilo jizi kuu.

Hofu yenu tunaijua...
Muhimu ni kujiandaa ila kuwapoka visima vya gas, vitalu vys Tanzanite kule Mirerani na harakato zote za kurudisha mali kwa wananchi ni lazima, mjipange tu kisaikolojia!
 
Hofu yenu tunaijua...
Muhimu ni kujiandaa ila kuwapoka visima vya gas, vitalu vys Tanzanite kule Mirerani na harakato zote za kurudisha mali kwa wananchi ni lazima, mjipange tu kisaikolojia!
Kumbe mnapigia hesabu madini na gesi yetu heeeeee! tutawanyoa na kanuni 13 ili muelewe Tz ni kubwa kuliko nyinyi
 
Back
Top Bottom