CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

Ni vizuri kama sio mwanasiasa maana ningedhani unatumika ingawa najua watumika.
Tambua katika CCM kuna utaratibu wa kuongea na kuwasema viongozi wakuu wa chama. Sio hadharani kama ulivyotaka wewe usikie. Nikakupa mfano rahisi wa baba na mama.
Sio kila jambo utalijua kijana, ndio Maana hata ukawa walipokutana na Rais makubaliano yao waliyoyataka waliweka siri.
Hoja zako nyingine zilishatajwa tajwa humu sana...pekua na soma kurasa utazipata.
Wangekuwa wanamwona makongoro analeta mzaha, asingezuiwa habari zake katika media. Wewe binafsi usikngehangaika kumkebehi...watu wasingehangaika kutengeneza ujumbe kwa kuwatumia watoto katika ile PROJECT YA IKULU SI YA BABAKO. Ingawaje kwa mababa wa demokrasia USA, The Bush,Clinton mme na mke ni sawa.
Wezi wa nchi hii sote tunawajua na ni wenye nguvu...lakini hujahangaika kukemea lolote zaidi ya kutoa kebehi.
Poleeee
I see!
unasema katika CCM kuna utaratibu wa kusemana na sio hadharani Kama Mimi ninavyotaka, na Kwenye post ya awali umesema pa kusemea ni NEC, hiyo hotuba aliyoitoa na kushutumu wenzie ameitolea NEC?

Au ukishatangaza nia unaruhusiwa sasa kusema hadharani?,
 
kbm

watanzania mwaka huu au uchaguzi huu hatutachagua chama,tutachagua mtu so hilo mlijue kabisaaaaaaaaaa,wakati bado ni mapemaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Chama ndio mtu, huyo mnayemchagua mwambie asimame nje ya chama tumuone.
Usifanye watu wajinga, ukimchagua lipumba ujue umechagua cuf na hivyo usitegemee kwenda kinyume na chama chake ambacho ndio kilimsimamisha labda awe mgombea binafsi.
 
Last edited by a moderator:
Mnahangaika sana. ENL Ndiye Rais anayefuata. Wapigakura sisi wananchi ndiyo waamuzi.
Wekeni majina mnayotaka hair tutakutana kwenye sanduku[/cilor].


Hivi wewe nani amekupa mamlaka ya kuwasemea watanzania ktk ujumla wao? au unataka kusema kwamba hawa wanaotofautiana na mnachofikiri sio watanzania?
Hapo kwenye bluu ya pili na ya tatu umesema ukweli.
 
Mi sina chama ushauri lowasa rudi upinzani utapa Urais na CCM itakufa mikononi mwaka kikwete
 
Kama ww unavyojitoa ufaham kuandika usichokijua...mmeshazowea kupokea hela kwahyo mnaona kila mtu kama nyie....watu hawana njaa ya pesa nikumkubali nakujitoaa....

Mkuu kipi nimeandika nisichokijua
 
wakithubutu kumkata watakiona cha mthema kuni

kina nani hao? Sasa wewe na huyo kingunge wako mnataka kulazimisha lowasa apitishwe hata kama hajakidhi vigezo! Ndo demokrasia ya kundi lenu hiyo? Nikusahihishe hapa, sema hivi; "sisi timu lowasa pamoja na kingunge tutakiona cha mtemakuni kama jina lake litafutiliwa mbali". Kajipangeni namna ya kujifungia ndani kwa aibu kwani nchi hii haihitaji kuongozwa na wazee!
 
kina nani hao? Sasa wewe na huyo kingunge wako mnataka kulazimisha lowasa apitishwe hata kama hajakidhi vigezo! Ndo demokrasia ya kundi lenu hiyo? Nikusahihishe hapa, sema hivi; "sisi timu lowasa pamoja na kingunge tutakiona cha mtemakuni kama jina lake litafutiliwa mbali". Kajipangeni namna ya kujifungia ndani kwa aibu kwani nchi hii haihitaji kuongozwa na wazee!

Sio kingunge tu

Mwinyi na mkapa

Bado wew ti
 
Kama mchezo wa kuigiza ulivyo na mwisho, hatimae zoezi lililokuwa na mbwembwe, vijembe, hadaa, matumizi makubwa ya fedha na utapeli wa WAPOKEA hongo limefikia mwisho na fomu zinarudishwa makao makuu CCM Dodoma kabla ya kesho.

Utafiti umeonyesha kuwa katika ile mikusanyiko kuna watu wamehudhuria mapokezi na mikutano ya Watangaza nia zaidi ya watano kulingana na kiwango cha UWEZESHAJI wa Mtangazania na kushangilia kwa nguvu "wewe ndiye mfalme ajae" huku wakijua kila mtu anayo kura moja tuu.

Ajabu kumbe pamoja na mikusanyiko na mbwembwe zile bado kuna watu walikuwepo lakini leo unamuuliza vipi kuhusu yule mgombea fulani na mtu anarudisha swali "NDIO NANI?"

Sasa ni wakati wa kusahauliwa na wale waliotumia fedha wajue kuwa Wameliwa, maana zile buku tano au kumi walizogawagawa watu wameshatumia na zimekwisha.
 
Wana JF,

leo tunaanza mwezi mbaya kwa chama na serikali pamoja na wananchi kwa ujumla, katika tarehe ya leo, ni mwanzo wa hesabu za maumivu kwa mwananchi upande nyongeza za kodi lakini pia mwezi mbaya kwa watia nia, kuna orodha ya watia nia wasindikizaji tu, wengine wana dhamira ya kweli, wenye dhamila ya kweli wametumia fedha nyingi kuununua urais, aidha wamejihaminisha sana, tarehe 12 julai ni kukamilika kwa mchujo wa mtia nia atakayepambana na vyama vya upinzani, watia nia ambao kwa ujumla wao wamejinadi sana uenda wakapata shinikizo la damu, au kuugua kifafa ghafla pindi watakapoukosa utia nia , kuna orodha ya watu wanne watakaokumbwa na dhahama hiyo, tunaishauri CCM ijenge hospitali ya muda yenye vifaa vya kutosha kuokoa watia nia wataojeruiwasiku hiyo.
 
Mtu wa kwanza ambaye atapoteza fahamu na kupelekwa ICU ni EDDO. Tutaona mengi mwaka huu. Edo kibarua chake kinaisha tarehe 8. Mpaka tarehe 9 Edward atakuwa amepelekwa ICU
 
Ambulance za kutosha zinatakiwa kuwa karibu sana mamvi.
 
Ambulance za kutosha zinatakiwa kuwa karibu sana mamvi.
Huyu anatakiwa awe karibu na daktari wawili na manesi sita. Tysoni anatakiwa awepo polisi mwenye nguvu sana achelewi kupiga ngumi mtu hadi anasema sio ngumi ni chupa!!!
 
Watanzania wanatafuta mabadiliko,wasipoyapata ccm watayapa nje ya ccm-Mamvi atazimia October na sio July.
Japo hamna dalili ya kuzapata ila walau,Mamvi atatoka CCM nakutafuta ''mabadiliko''
 
We ni nani hadi useme huwezi kukatwa! Kwani unataka nani akatwe? Kati ya watangaza nia 42 unataka wote mpitishwe tu? Ikulu si babaako hadi fisadi mkuu upitishwe tu!
 
Walijifanya vitujo weee mara wakaleta picha za kuunga unga mara ajari mara video za hovyo, sasa zimeishia ukingoni. Kwaheri Lowassa
 
Back
Top Bottom