CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

Anaepiganiwa akatwe na wanaopigania wamkate sioni tofauti yake naona wote ni maccm na kwa maana hiyo ni mafisadi yaliyobobea. ...sasa kumkata mtu wakati hawana tofauti je yanatumia kigezo gani magamba haya?

Mwaka huu wanagawana mbao
 
vipi Yericko Afya ya lowassa ikoje?unipe live updates ya afya yake hadi tarehe 14 July!!
 
Kamati kuu ya CCM inayotarajiwa kukutana leo jioni jijini Dar es Salaam itatoa ujumbe mzito kwa wasaka urais wa CCM.

Rais Kikwete anayetarajiwa kuongoza kikao hicho, mbali na teuzi mbalimbali zitakazofanyika, pia Kikwete ameonyesha kukerwa na baadhi ya mwenendo ya wasaka urais wa CCM wakiwemo January Makamba, Edward Lowassa na Benard Membe ambapo anatarajiwa kutoa ujumbe mzito kwao.

Kiwete ameonyesha kustushwa na mwenendo wao wa kupiga kampeni waziwazi huku akisema kuwa "kamati kuu haitothubutu kuwapitisha wafanya mazingaombwe"
 
"Urais Tanzania, kuanzia 25/10/2015, iwe mchana au usiku, iwe kiangazi au masika, iwe mawingu au jua kali, Dr Slaa chini ya UKAWA ndie rais wa wote, wema na wabaya".

Acha kutuchagulia raisi tusiyemtaka. Nilikuwa nakuheshimu sana
 
Nitakunya mchana kweupe pale Manzese soko la mitumba kama jina la Lowassa halitakatwa
 
Kamati kuu ya CCM inayotarajiwa kukutana leo jioni jijini Dar es Salaam itatoa ujumbe mzito kwa wasaka urais wa CCM.

Rais Kikwete anayetarajiwa kuongoza kikao hicho, mbali na teuzi mbalimbali zitakazofanyika, pia Kikwete ameonyesha kukerwa na baadhi ya mwenendo ya wasaka urais wa CCM wakiwemo January Makamba, Edward Lowassa na Benard Membe ambapo anatarajiwa kutoa ujumbe mzito kwao.

Kiwete ameonyesha kustushwa na mwenendo wao wa kupiga kampeni waziwazi huku akisema kuwa "kamati kuu haitothubutu kuwapitisha wafanya mazingaombwe"

JK ni mwanamazingaombwe Kama hao wenzake.
 
Lowassa Ndossy ni shida anajua mwisho wake si mzuri.
 
Asante kikwete simama imara kama nyerere 1995 futilia mbali hao wajinga sisi tuko nyuma yako pele tu utakapompitisha mtu sashihi nasio yale mazee,
 
Back
Top Bottom