Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,018
- 20,489
Anaepiganiwa akatwe na wanaopigania wamkate sioni tofauti yake naona wote ni maccm na kwa maana hiyo ni mafisadi yaliyobobea. ...sasa kumkata mtu wakati hawana tofauti je yanatumia kigezo gani magamba haya?
Mwaka huu wanagawana mbao