CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

swali la kujiuliza why are some people afraid of lowassa in top five mpaka waombee jina lake likatwe ??????

mkuu ccm wakijichanganya wakampitisha lowasa kwenye top 5 na cc yao imekula kwao. lowasa ameweka mfukoni wajumbe wote wa NEC na mkutano mkuu wa ccm.ccm wana wakati mgumu sana dhidi ya lowasa..
 
Kati ya hao 40 wenye nia ya kweli ni wawili tu wengine mmewaweka Kama magalasa ya kusema mbona flani kakatwa hajalalamika.

Lowassa ni mmoja ya walioingia gentlemen agreement na vasco da gama mwaka 1995/2005.

anyway who is vasco da gama the dead explorer or?
 
Acheni Lowasa achukue nchi. Yeye ni kipenzi cha wengi ndani na nje ya Maccm.
 
ImageUploadedByJamiiForums1435419500.555404.jpg
 
haa haa lowasa ndani ya ccm amewashika pabaya sana. kinachofanywa na baadhi ya wasaka urais kupitia ccm ni kampeni na sio kusaka wadhamini. lowasa kashateka NEC na mkutano mkuu wa ccm. hawana namna .

mmh! kawatekaje mie najiuliza hao wajumbe wa nec na mkutano mkuu ni watu wa aina gani mpaka wote watekwe this is unbelievable or lowassa ni kiongozi ambaye wanaona anafaa ndio maana inaonekana kama wametekwa meanwhile yupo january and mwigulu ambao mi naona ndio best candidates kwa wakati huu
 
Acheni Lowasa achukue nchi. Yeye ni kipenzi cha wengi ndani na nje ya Maccm.

Huna akili wewe,kipenzi cha wengi kina nani? Sema kipenzi cha mke wako
mijitu mingine bwana,na ww uko kwenye payroll ya mamvi nn
 
Kamati kuu ya ccm baada ya sintofahamu ya siku mbili, imebadili ghafla eneo la kufanyia mkutano wao kutoka Dodoma na kwenda Ikulu Dar,

Hali hiyo inafuatia taarifa za intelijensia kuwa Lowasa na Timu yake tayari wameweka kambi Dodoma wakijiandaa kwa maandamano na kuvamia ukumbi kama shinikizo la kuzuia jina la mlalaheri Lowasa kwa pepo ya mabwege lisikatwe.

Kwahatua hii tegemea maamuzi mazito au ya kipuuzi leo, Wajumbe wamegeuza tayari Kuja dar na kikao kitafanyika Leo usiku ikulu dar.

Timu Lowasa mnaarifiwa kuwa nendeni mkaandamanie Ikulu ya magogoni ili muone hasira ya kibanga wa ubara.


"Urais Tanzania, kuanzia 25/10/2015, iwe mchana au usiku, iwe kiangazi au masika, iwe mawingu au jua kali, Dr Slaa chini ya UKAWA ndie rais wa wote, wema na wabaya".

Natamani kuona mafisadi wote wakinyongwa
 
"Urais Tanzania, kuanzia 25/10/2015, iwe mchana au usiku, iwe kiangazi au masika, iwe mawingu au jua kali, Dr Slaa chini ya UKAWA ndie rais wa wote, wema na wabaya".
Naunga mkono hoja kwa asilimia 100%, kumbe mgombea wa UKAWA ameishapitishwa ni Dr?!. Then kujifurahisha kwa urais wa 2015 ni ruksa kama sisi tunaojifurahisha na yule 'jamaa yangu'. Endelea kujifurahisha na kujifariji, ila Rais wa Tanzania 2015 ni mmoja tuu!, atatoka CCM, na ikitokea CCM isimsimamishe rais wa watu, then watu watamsimamisha wao na kumuingiza ikulu, ili litimie lile neno la baba yako wa hiyari, kuwa rais bora wa Tanzania atatoka CCM na upinzani wa kweli utatoka CCM!.

Pasco
 
Naunga mkono hoja kwa asilimia 100%, kumbe mgombea wa UKAWA ameishapitishwa ni Dr?!. Then kujifurahisha kwa urais wa 2015 ni ruksa kama sisi tunaojifurahisha na yule 'jamaa yangu'. Endelea kujifurahisha na kujifariji, ila Rais wa Tanzania 2015 ni mmoja tuu!, atatoka CCM, na ikitokea CCM isimsimamishe rais wa watu, then watu watamsimamisha wao na kumuingiza ikulu, ili litimie lile neno la baba yako wa hiyari, kuwa rais bora wa Tanzania atatoka CCM na upinzani wa kweli utatoka CCM!.

Pasco

empty brain!
 
Yeriko Lowassa na wenzake hata hizi fomu bado hazijarudishwa walizochukuwa na deadline ni tarehe 2...sio kweli kikao cha leo ajenda ni nyingine kabisa...
 
Asante sana kwa taarifa mkuu Yeriko Nyerere mamvi anazidi kuwachanganya majizi wa ccm.
CC Pasco umepata huu ujumbe
 
Last edited by a moderator:
Cheki miCHADEMA inavyopenda kushadadia vita, hivi vita ni sera yenu? Maana Dr. Slaa aliposhindwa urais na JK mwaka 2010 alisema nchi haitatawalika lakini mwisho wa siku ameaibika kwani nchi inatawalika ipasavyo. Shame on you!
 
Katika watu ambao nilikuwa nawaheshimu nakusoma nyuzi zao nikidhania wewe ni mchambuzi neutral but nimegundua kuwa wewe sio mchambuzi bali ni mshabiki bora hata pasco wa jf kuliko wewe mchumia stomach
 
naunga mkono hoja kwa asilimia 100%, kumbe mgombea wa ukawa ameishapitishwa ni dr?!. Then kujifurahisha kwa urais wa 2015 ni ruksa kama sisi tunaojifurahisha na yule 'jamaa yangu'. Endelea kujifurahisha na kujifariji, ila rais wa tanzania 2015 ni mmoja tuu!, atatoka ccm, na ikitokea ccm isimsimamishe rais wa watu, then watu watamsimamisha wao na kumuingiza ikulu, ili litimie lile neno la baba yako wa hiyari, kuwa rais bora wa tanzania atatoka ccm na upinzani wa kweli utatoka ccm!.

Pasco

umepaniki kijana!
 
haha.kuhamia ikulu ni kwa faida yake kwani yupo dsm na atahamasisha watu.umemsikia KINGUNGE kasema nini KINONDONI leo?
note:am not pro ccm ila ukweli tuusimamie
 
CCM tuko imara sana! Hizi taarifa wala sio mpya ila wajumbe wana taarifa zote bila shaka.

Utahangaika sana na CCM wakati UKAWA hawana mgombea mpaka leo.

Mandla.

kwani ma ccm mpaka sasa hivi wana mgombea :what:
kama yupo tutajie anaitwa nani
 
Back
Top Bottom