CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

Hichi chama kingepumzika kwanza kidogo jamani

Sanduku la kura pekee ndilo linaloweza kukipumzisha.

Wahi kajiandikishe kwenye daftari la kudumu ili october uongee kwa vitendo.
 
Kufuatia kupanda kwa joto la kumsaka mgombea wa Urais wa Tanzania kupitia CCM na songombingo la Zanzibar, Kamati Kuu ya CCM (CC) imeitishwa kwa dharura. Nyaraka za kikao hicho zinaonesha kuwa CC itajadili songombingo la Zanzibar na kuanza kupanga nondo za kuchambua na kuchuja watiania wa CCM. Kikao hicho cha dharura kinatazamiwa kuongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete na kitafanyika Dodoma.

Kulingana na taarifa nilizonazo,kikao kitafanyika kesho.CC inagusia pia malalamiko ya rushwa toka kwa watiania waliorejesha fomu. Yametolewa malalamiko lukuki yachomayo kama mkuki hasa juu ya wakati wa kusaka wadhamini mikoani. Ni kutoka kwa watia nia wenyewe. Wapo waliowasilisha nyaraka na shahidi nyinginezo kushuhudia rafu za baadhi ya watiania.JF will be the first to know kitakachojiri kikaoni!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mzee Throw-throw!!
 
Makosa madogo Madogo tena ya kiufundi ya Mashabiki wa CDM ya kukejeli au kuanzisha kejeli dhidi ya Uislam kuhusu Uongozi yanaweza kukinyima chama hicho ushindi, 1995 Mrema alikuja vizuri sana alivyo anza kupanga mipango kunywesha watu maji kwenye karai akaporomoka kuweni makini kila kinachofanywa au kusemwa dhidi ya Waislam kinarekodiwa huo ni Ushauri wangu mwaweza endelea.
 
Huwei kuwa na chama kinaongozwa na muislamu kikawa na achievements

Tafuta ushauri nasaha Mirembe, TLP,UDP,AATP,CCK,..nk vinaongozwa na Waislamu? Very narrow minded dolt
 
Kamati kuu ya ccm baada ya sintofahamu ya siku mbili, imebadili ghafla eneo la kufanyia mkutano wao kutoka Dodoma na kwenda Ikulu Dar,

Hali hiyo inafuatia taarifa za intelijensia kuwa Lowasa na Timu yake tayari wameweka kambi Dodoma wakijiandaa kwa maandamano na kuvamia ukumbi kama shinikizo la kuzuia jina la mlalaheri Lowasa kwa pepo ya mabwege lisikatwe.

Kwahatua hii tegemea maamuzi mazito au ya kipuuzi leo, Wajumbe wamegeuza tayari Kuja dar na kikao kitafanyika Leo usiku ikulu dar.

Timu Lowasa mnaarifiwa kuwa nendeni mkaandamanie Ikulu ya magogoni ili muone hasira ya kibanga wa ubara.


"Urais Tanzania, kuanzia 25/10/2015, iwe mchana au usiku, iwe kiangazi au masika, iwe mawingu au jua kali, Dr Slaa chini ya UKAWA ndie rais wa wote, wema na wabaya".


....................................

UPDATES:

 
hahahahah, hii hatari Yeriko. Ngoja tuone muziki wake
 
CCM tuko imara sana! Hizi taarifa wala sio mpya ila wajumbe wana taarifa zote bila shaka.

Utahangaika sana na CCM wakati UKAWA hawana mgombea mpaka leo.

Mandla.
 
kamati kuu ya ccm baada ya sintofahamu ya siku mbili, imebadili ghafla eneo la kufanyia mkutano wao kutoka dodoma na kwenda ikulu dar,

hali hiyo inafuatia taarifa za intelijensia kuwa lowasa na timu yake tayari wameweka kambi dodoma wakijiandaa kwa maandamano na kuvamia ukumbi kama shinikizo la kuzuia jina la mlalaheri lowasa kwa pepo ya mabwege lisikatwe.

Kwahatua hii tegemea maamuzi mazito au ya kipuuzi leo, wajumbe wamegeuza tayari kuja dar na kikao kitafanyika leo usiku ikulu dar.

Timu lowasa mnaarifiwa kuwa nendeni mkaandamanie ikulu ya magogoni ili muone hasira ya kibanga wa ubara.

yerricko acha kutunga nani alikwambia ni mchakato wa kukatana majina cc tulia na tafakari mkuu wangu jambo.
 
Anaepiganiwa akatwe na wanaopigania wamkate sioni tofauti yake naona wote ni maccm na kwa maana hiyo ni mafisadi yaliyobobea. ...sasa kumkata mtu wakati hawana tofauti je yanatumia kigezo gani magamba haya?
 
Kuanzia ale Yeriko alipojiunga na dini ya kipuuzi hakika nimemdharau sana
 
Back
Top Bottom