CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

Kuweni na amani Rais atatoka ccm , upinzani bado hawajawa tayari ki maandalizi
 
Kamati kuu ya ccm baada ya sintofahamu ya siku mbili, imebadili ghafla eneo la kufanyia mkutano wao kutoka Dodoma na kwenda Ikulu Dar,

Hali hiyo inafuatia taarifa za intelijensia kuwa Lowasa na Timu yake tayari wameweka kambi Dodoma wakijiandaa kwa maandamano na kuvamia ukumbi kama shinikizo la kuzuia jina la mlalaheri Lowasa kwa pepo ya mabwege lisikatwe.

Kwahatua hii tegemea maamuzi mazito au ya kipuuzi leo, Wajumbe wamegeuza tayari Kuja dar na kikao kitafanyika Leo usiku ikulu dar.

Timu Lowasa mnaarifiwa kuwa nendeni mkaandamanie Ikulu ya magogoni ili muone hasira ya kibanga wa ubara.


"Urais Tanzania, kuanzia 25/10/2015, iwe mchana au usiku, iwe kiangazi au masika, iwe mawingu au jua kali, Dr Slaa chini ya UKAWA ndie rais wa wote, wema na wabaya".

As you wish,umeanza vizuri lkn ulipomalizia,ptuuuuuuu!!!!
 
Kamati kuu ya ccm baada ya sintofahamu ya siku mbili, imebadili ghafla eneo la kufanyia mkutano wao kutoka Dodoma na kwenda Ikulu Dar,

Hali hiyo inafuatia taarifa za intelijensia kuwa Lowasa na Timu yake tayari wameweka kambi Dodoma wakijiandaa kwa maandamano na kuvamia ukumbi kama shinikizo la kuzuia jina la mlalaheri Lowasa kwa pepo ya mabwege lisikatwe.

Kwahatua hii tegemea maamuzi mazito au ya kipuuzi leo, Wajumbe wamegeuza tayari Kuja dar na kikao kitafanyika Leo usiku ikulu dar.

Timu Lowasa mnaarifiwa kuwa nendeni mkaandamanie Ikulu ya magogoni ili muone hasira ya kibanga wa ubara.


"Urais Tanzania, kuanzia 25/10/2015, iwe mchana au usiku, iwe kiangazi au masika, iwe mawingu au jua kali, Dr Slaa chini ya UKAWA ndie rais wa wote, wema na wabaya".

Muda wa mwishi uliowekwa wa kurudisha fomu bado sasa watakataje majina wakaji fomu hazijarudishwa nyingine?
 
Kweli kabisa JK inatakiwa aonyeshe kweli yeye ni kiongozi wa taifa kichama na kiserikali pia. Aonyesha msimamo thabiti kweli kweli.

Hawa mafisadi hatari sana, yaaani hadi wanaandaa watu kwenda kufanya fujo kwenye vikao vya ccm eti kulazimisha fisadi apite!! This is completely nonsense
What goes around comes around...wakati yanafanyika miaka ile ya 90s alikuwa yeye upande wa pili leo anafanyiwa yeye tafsiri yake MUNGU anaongea nae kwa picha nyepesi kama nini ni kukumbuka tu kule nyuma kulifanyika nini...basi kwishney.manake Mwalimu Julius Kambalage Nyerere wakati anaona Mzee Mwinyi kama mwenyekiti wa CCM na Rais wa Nchi anazomewa na vijana ..Mwalimu aliuza hivi kweli huu ndio utaratibu...Wananchi huko nje wakiwaona HAWATAAMINI kama kweli nyie ndio viongozi wao...Akapigilia mkono msumali kuwa ANAUNGA mkono HOJA ya Mwenyekiti kila kitu kikawa shwari.

Sasa leo Mungu kampa uhai JK na yeye ndiye Mwenyekiti mtu ...mzima sasa ana wajukuuu na kwa umri huo alionao anajua THAMANI YA TAIFA...yani anajua madhara ya KUTENGENEZA makundi ya mashinikizo [Pasco anaita HUMAN SHIELD] yani kutengeneza maigizo..Mungu kumpa nafasi hii kwa haya kutokea kwake ni kumwambia ASAHIHISHE MAKOSA IWE MWANZO NA MWISHO kwa chama chake kuwa na matendo ambayo kwa hakika yanastahiki kuitwa ni ya KIHUNI. Na sio matendo ambayo yanaweza kufanywa na watu wazima wenye dhamana ya uongozi.

Mtu kuwa kiongozi watu ndio wanakuita njooo hapa uwe kiongozi wetu...sio wewe unashinikiza uwe kiongozi wa watu...haaa sio kabisa.Sasa wakati JK anaondoka Madarakani mwaka huu Mungu kampa USHUHUDA na kuwa mfano wa kuona UKIWA MWENYEKITI wa chama kikubwa na RAIS wa Taifa la mamilioni ya watu ...wema kwa wabaya..kisha kuna kijikundi kidogo cha watu kinakutishia nyau kwa kuwa kinakujua aahaa..inafika sehemu UNASEMA BASI hata kama ni mtoto wako UNATOA NAFASI ajue kuwa kumbe Baba akikasilika anaweza kunifanya kitu mbaya.Ni muda JK ashape CCM wakati ambako akijiandaa kumkabidhi Mwenyekiti mwenye uthubutu zaidi
 
Kamati kuu ya ccm baada ya sintofahamu ya siku mbili, imebadili ghafla eneo la kufanyia mkutano wao kutoka Dodoma na kwenda Ikulu Dar,

Hali hiyo inafuatia taarifa za intelijensia kuwa Lowasa na Timu yake tayari wameweka kambi Dodoma wakijiandaa kwa maandamano na kuvamia ukumbi kama shinikizo la kuzuia jina la mlalaheri Lowasa kwa pepo ya mabwege lisikatwe.

Kwahatua hii tegemea maamuzi mazito au ya kipuuzi leo, Wajumbe wamegeuza tayari Kuja dar na kikao kitafanyika Leo usiku ikulu dar.

Timu Lowasa mnaarifiwa kuwa nendeni mkaandamanie Ikulu ya magogoni ili muone hasira ya kibanga wa ubara.


"Urais Tanzania, kuanzia 25/10/2015, iwe mchana au usiku, iwe kiangazi au masika, iwe mawingu au jua kali, Dr Slaa chini ya UKAWA ndie rais wa wote, wema na wabaya".
wewe mhemea jina wacha makeke yako.
 
Kamati kuu ya ccm baada ya sintofahamu ya siku mbili, imebadili ghafla eneo la kufanyia mkutano wao kutoka Dodoma na kwenda Ikulu Dar,

Hali hiyo inafuatia taarifa za intelijensia kuwa Lowasa na Timu yake tayari wameweka kambi Dodoma wakijiandaa kwa maandamano na kuvamia ukumbi kama shinikizo la kuzuia jina la mlalaheri Lowasa kwa pepo ya mabwege lisikatwe.

Kwahatua hii tegemea maamuzi mazito au ya kipuuzi leo, Wajumbe wamegeuza tayari Kuja dar na kikao kitafanyika Leo usiku ikulu dar.

Timu Lowasa mnaarifiwa kuwa nendeni mkaandamanie Ikulu ya magogoni ili muone hasira ya kibanga wa ubara.


"Urais Tanzania, kuanzia 25/10/2015, iwe mchana au usiku, iwe kiangazi au masika, iwe mawingu au jua kali, Dr Slaa chini ya UKAWA ndie rais wa wote, wema na wabaya".

Ni nani hata amempitisha Bw.Slaa kugombea urais kupitia UKAWA/CHADEMA? Ni kikao gani kilichompitisha mpaka usema yeye ndiye raisi ajaye? Na je , ni lini Bw.Slaa amesema yeye atagombea urai(hi)si kupitia UKAWA/CCM?

 
Mkuu tuweni tu wakweli jamani, Membe hawezi kufua dafu mbele ya Slaa, don't underrate the power of Ukawa
Ni kweli, ila usiseme Membe tu, CCM haina candidate tishio.
Lowassa ni kweli ana tuhuma za ufisadi, lakini jamaa ana back up ya kutosha kumpigia kampeni na kuleta ushindani wa kutosha UKAWA, wanapohaha kutafuta namna ya kukata jina lake, UKAWA ni vicheko tu..

Kama kunaweza kuwa na mazingira huru na haki mwaka huu, CCM is likely to loose the general election on october, CCM wategemee tu dola kuwanusuru, kama unadhani kuna mgombea wa CCM ambaye anaweza kupata landslide victory, niambie ni nani.
 
....

"Urais Tanzania, kuanzia 25/10/2015, iwe mchana au usiku, iwe kiangazi au masika, iwe mawingu au jua kali, Dr Slaa chini ya UKAWA ndie rais wa wote, wema na wabaya".

OVER !!

Hahahahahahahahahahahahaha!! Mwanasiasa yeyote akipata wafuasi kama wewe ni Raha sana
 
Yaani wewe ni hovyo kabisa...hivi JK toka lini anawaonea huruma watanzania? Ghost babako

Walking ghost, kama unampenda sana nenda kamwambie wazalendo wa Jf wanakunanga na hawakutaki
 
Anaepiganiwa akatwe na wanaopigania wamkate sioni tofauti yake naona wote ni maccm na kwa maana hiyo ni mafisadi yaliyobobea. ...sasa kumkata mtu wakati hawana tofauti je yanatumia kigezo gani magamba haya?

swali la kujiuliza why are some people afraid of lowassa in top five mpaka waombee jina lake likatwe ??????
 
haa haa lowasa ndani ya ccm amewashika pabaya sana. kinachofanywa na baadhi ya wasaka urais kupitia ccm ni kampeni na sio kusaka wadhamini. lowasa kashateka NEC na mkutano mkuu wa ccm. hawana namna .
 
Back
Top Bottom