BungelaKatiba2014tz
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 1,231
- 649
Yeriko siku hizi kama umechanganyikiwa vile?
Nitakunya mchana kweupe pale Manzese soko la mitumba kama jina la Lowassa halitakatwa
jk ni mwanamazingaombwe kama hao wenzake.
Kisha wanunua hata hawa akina Yeriko, hapa anatapatapa mara Ukawa, mara Slaa lakini ukweli anaujua , hakuna cha Lowasaa wala cha Slaa.Lowassa Ndossy ni shida anajua mwisho wake si mzuri.
bado tunasubiri mchakato wa UKAWA Dr.Slaa umeamua mwenyewe chumbani?Kamati kuu ya ccm baada ya sintofahamu ya siku mbili, imebadili ghafla eneo la kufanyia mkutano wao kutoka Dodoma na kwenda Ikulu Dar,
Hali hiyo inafuatia taarifa za intelijensia kuwa Lowasa na Timu yake tayari wameweka kambi Dodoma wakijiandaa kwa maandamano na kuvamia ukumbi kama shinikizo la kuzuia jina la mlalaheri Lowasa kwa pepo ya mabwege lisikatwe.
Kwahatua hii tegemea maamuzi mazito au ya kipuuzi leo, Wajumbe wamegeuza tayari Kuja dar na kikao kitafanyika Leo usiku ikulu dar.
Timu Lowasa mnaarifiwa kuwa nendeni mkaandamanie Ikulu ya magogoni ili muone hasira ya kibanga wa ubara.
"Urais Tanzania, kuanzia 25/10/2015, iwe mchana au usiku, iwe kiangazi au masika, iwe mawingu au jua kali, Dr Slaa chini ya UKAWA ndie rais wa wote, wema na wabaya".
Kila la kheri JK ktk kuwatafutia watanzania kiongozi bora
Yap inataiwa afumbe macho aweke ushkaji pembeni afanye maamuzi kwa maslah ya taifa na si kumfurahisha mtu au kulipa fadhira
Kuanzia ale Yeriko alipojiunga na dini ya kipuuzi hakika nimemdharau sana
Hakatwi mtu maan yake nini, wote 40, watakwenda IKULU? Na Lowassa wenu mmechanganyikiwa
asitudanganya wakati anajua kuhusu richmond,epa,escrow,naye ni fisadi tuKamati kuu ya CCM inayotarajiwa kukutana leo jioni jijini Dar es Salaam itatoa ujumbe mzito kwa wasaka urais wa CCM.
Rais Kikwete anayetarajiwa kuongoza kikao hicho, mbali na teuzi mbalimbali zitakazofanyika, pia Kikwete ameonyesha kukerwa na baadhi ya mwenendo ya wasaka urais wa CCM wakiwemo January Makamba, Edward Lowassa na Benard Membe ambapo anatarajiwa kutoa ujumbe mzito kwao.
Kiwete ameonyesha kustushwa na mwenendo wao wa kupiga kampeni waziwazi huku akisema kuwa "kamati kuu haitothubutu kuwapitisha wafanya mazingaombwe"
mkuu ni vizuri ukija na jina lako kamili au kama vipi nitumie private .Ikitokea Padre,Dr Slaa kawa Rais wa Tz nitakuwa wa kwanza kuhama Tanzania.
Mandla.
....
....mashetani yakinyongana kwa Mungu ni ushindi !!!