A antimatter JF-Expert Member Feb 26, 2017 44,652 120,184 Dec 14, 2023 #3 Duh.. Chama cha mboga mboga ni jipu linalosubiri kutumbuliwa na umma
MAPITO Mwanza JF-Expert Member Aug 21, 2018 3,700 5,040 Dec 14, 2023 #4 Tunawasubili kwenye fainali 2025
chiembe JF-Expert Member May 16, 2015 12,012 20,685 Dec 14, 2023 #5 Shule za Samia, tena za msingi, zina mpaka vigae na jipsamuuu, na aluminum windows
Chillah JF-Expert Member Oct 12, 2016 8,299 8,862 Dec 14, 2023 #6 Hakika wanachama wa CCM wana upiga mwingi mno...
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,894 155,917 Dec 14, 2023 #7 Muuza Kangala said: View attachment 2841871 View attachment 2841872 Click to expand... Chama Cha Mazezeta
Muuza Kangala said: View attachment 2841871 View attachment 2841872 Click to expand... Chama Cha Mazezeta
Tlaatlaah JF-Expert Member May 18, 2023 8,195 11,626 Dec 14, 2023 #8 Muuza Kangala said: View attachment 2841871 View attachment 2841872 Click to expand... Shule zinajengwa na ofisi za CCM zinajengwa vilevile.... uwezo upo, nia ipo na ari ipo juu sana. Kwa pamoja tunaweza
Muuza Kangala said: View attachment 2841871 View attachment 2841872 Click to expand... Shule zinajengwa na ofisi za CCM zinajengwa vilevile.... uwezo upo, nia ipo na ari ipo juu sana. Kwa pamoja tunaweza
Kinkunti El Perdedo JF-Expert Member Nov 28, 2020 4,485 11,037 Dec 14, 2023 #9 Kuna member kasha wahi sema humu "Nyerere alijenga ofisi za chama kila kijiji,l,lakini alishinda kujenga shule kila kijiji" Afrika ni bara la kiza.Watawala ni wapumbavu.
Kuna member kasha wahi sema humu "Nyerere alijenga ofisi za chama kila kijiji,l,lakini alishinda kujenga shule kila kijiji" Afrika ni bara la kiza.Watawala ni wapumbavu.
kipara kipya JF-Expert Member May 2, 2016 14,191 16,205 Dec 14, 2023 #10 Muuza Kangala said: View attachment 2841871 View attachment 2841872 Click to expand... Walishasema sana na bado hakuna mbadala!
Muuza Kangala said: View attachment 2841871 View attachment 2841872 Click to expand... Walishasema sana na bado hakuna mbadala!
HORSE POWER JF-Expert Member Feb 22, 2015 2,077 1,392 Dec 14, 2023 #11 Bujibuji Simba Nyamaume said: Chama Cha Mazezeta Click to expand... Chama Cha Mamafia
I Imeloa JF-Expert Member Jan 28, 2013 12,929 15,357 Dec 14, 2023 #12 Sitaki hata kusikia mambo ya ccm ni takataka kabisa. Akina Kinana hao ni watu wa kutandika tu risasi, mafisadi wakubwa..🙁🙁🙁
Sitaki hata kusikia mambo ya ccm ni takataka kabisa. Akina Kinana hao ni watu wa kutandika tu risasi, mafisadi wakubwa..🙁🙁🙁